Natumai hamjambo wanajamvi.
Wakuu nina changamoto ndogo katika ndoa yangu japo sijaipatia ufumbuzi hivo naileta kwenu ili nipate utatuzi.
Ipo hivi, ninamke tangu nimemuoa hobi yake kubwa nikunifyeka msituni kwa babu kila unapokua bt yeye hapendi nifyeke msitu wake anadai anaona aibu.
Pale inapotokea nimefyeka bila kumshirikisha hukasirika sana, sasa najiuliza ni aibu gani anayonionea ikiwa kukoga na mambo mengine yote tunashiriki pamoja?
Mambo mengine yote yupo vizuri bt hili tu ndo changamoto, mi nilimwambia kama hataki nimnyoe basi kila mtu afyeke msitu wake bt napo hataki, sasa wakuu niitatueje changamoto hii?
Wakuu nina changamoto ndogo katika ndoa yangu japo sijaipatia ufumbuzi hivo naileta kwenu ili nipate utatuzi.
Ipo hivi, ninamke tangu nimemuoa hobi yake kubwa nikunifyeka msituni kwa babu kila unapokua bt yeye hapendi nifyeke msitu wake anadai anaona aibu.
Pale inapotokea nimefyeka bila kumshirikisha hukasirika sana, sasa najiuliza ni aibu gani anayonionea ikiwa kukoga na mambo mengine yote tunashiriki pamoja?
Mambo mengine yote yupo vizuri bt hili tu ndo changamoto, mi nilimwambia kama hataki nimnyoe basi kila mtu afyeke msitu wake bt napo hataki, sasa wakuu niitatueje changamoto hii?