Endelea vivyo hivyo, naamini utapata unachokitafuta mubashara kabisa bila chengachenga.
Unaona, ubaunsa wa club ni kazi rahisi eeeeh!? Ngojea siku, mlevi ambaye pia ni baunsa atakapo-kunywea chupa moja tu ya bia ili aje akudunde ndiyo akili zitakurudia.