Nisaidieni jinsi ya kutuma voice command

Nisaidieni jinsi ya kutuma voice command

hijaamri

New Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
3
Reaction score
1
nina tumia simu ya nokia n 72 naomba mnisaidie jinsi yakutumia voice command kwenye simu yangu
 
tafuta head phone zake orijinal halafu angalia voice command unayotaka ifanye kazi halafu bonyeza button ya kupokelea simu huku ukiwa umeng'ang'ania kisha utasikia au kuona ikisema uongee baada ya mlio
 
tafuta head phone zake orijinal halafu angalia voice command unayotaka ifanye kazi halafu bonyeza button ya kupokelea simu huku ukiwa umeng'ang'ania kisha utasikia au kuona ikisema uongee baada ya mlio
. Kazi IPO
 
tafuta head phone zake orijinal halafu angalia voice command unayotaka ifanye kazi halafu bonyeza button ya kupokelea simu huku ukiwa umeng'ang'ania kisha utasikia au kuona ikisema uongee baada ya mlio

Unaongea na nani mkuu?
 
Bonyeza (hold) button iliyojuu ya ile ya kukatia na ushikirie mpaka usikie mlio, ita jina unalotaka kupiga simu au command yoyote unayotaka kuifanya kisha utasikia mlio tena ikifuatiwa na sauti ya uthibitisho wa voice command uliyoitoa. Kama unatumia ear phone basi hold sahemu ya kupokelea kisha sema command unayotaka.
 
Back
Top Bottom