Mimi ni kijana wa miaka 24 mwezi wa December kuna msichana nilikutana naye wakati natoka morogoro kuja Dar es salaam katika basi ,nikapiga naye stori mwisho wa siku tukabadilishana namba za simu tukaendelea kuchat kama kawaida katika basi baada ya Siku kuu kuisha nikarudi zangu chuo Sua morogoro basi siku moja nikamtongoza yule demu katika simu kiswahili kikawa kingi mara aseme yuko single mara aseme yuko na mtu wake na simu akawa hapokei basi nikaamua kumpotezea maana yuko form 6 mwezi ujao anafanya mtiani na kwenye simu apatikani maana yuko boarding .Niko njia panda je akimaliza form 6 niendelee kumfuatilia au nimpotezee huyo mrembo