KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Heshima yenu wakuu,naombeni msaada wenu nina mtoto wa miaka minne anasumbuliwa na tatizo la kunuka pua japokuwa hana mafua .Yaani pua zake zinatoa harufu kali utandani kuna vidonda vilivyooza ndani yake mara naambiwa huo ni ugonjwa wa kipanda uso japo hawaniambii ni nini tiba yake tafadhali naombeni msaada wenu.