Kamtwanje H
Member
- Oct 16, 2010
- 15
- 12
Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
Ukibadili kuwa mita tunapata ngapi ?
Asante kwa maelezo rahisiHii ataiona kubwa sana mkuu ukilinganisha na uhalisia wa ardhini. Unapoambiwa eneo lina 100sqm maana yake ni kuwa ila wastani wa miguu 10 kwa miguu kumi. Na kwa haraka hilo ni eneo linalomezwa na nyumba moja tuu yenye urefu wa 10m na upana wa 10m na huwezi kuweka ata fensi.
Hapa umeeleweka mkuu,ndicho nilikua nataka kuelewea kwa picha halisi ya kuliko kinadhariaTwende kwa vitendo mkuu mwenzangu. Hatua moja iliyoshiba kidogo ni sawa na urefu wa mita moja. Hivyo basi eneo lenye hatua kumi upana na hatua kumi urefu, ni eneo lenye mita za mraba 100. Si lazima liwe eneo la hatua 10 kwa 10. Laweza kuwa hata eneo la hatua 20 kwa 5, nalo ni eneo lenye ukubwa wa mita mraba 100. Cha msingi ni hizo number 2 za upana na urefu ukizidisha, jibu liwe 100. Mfano rahisi ni hatua 2 kwa hatua 50, au hatua 1 kwa hatua 100. Ukubwa wa maeneo yote hayo mawili ni mita mraba 100.
"Like" kama umeelewa.
Ok.....ni vzuri kutaka juaHapana mkuu, nikikutana na matangazo ya uuzwaji nyumba,viwanja nk hua natamani nipate picha halisi ya ukubwa na eneo hata kama sijaliona,Mara nyingi inakua katika m².
Nadhani inaweza kuwa pia 5Mx20M n.k10m*10m
Eeeh babaAu cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
Ni sawa na vipimo kwa urefu zidisha na upana wa eneo. Mdau ameshakuambia mfano ni mita kumi kwa kumi, au moja kwa mia kwa vyovyote vile jibu liwe 100.Habari wakuu,
Kama eneo lina square meter 100 (100 m²) tafsiri yake rahisi ni ipi?
Je maana yake kila upande uko sawa kwa mita 100 kwa maana ya urefu na upana?
Au eneo linakua kubwa au dogo zaidi ya mita 100? Kwa kila upande?
Naomba kufahamishwa.
Ahsante.
This is the special case.0.5 m X 200 m