10m*10mHabari wakuu,
Kama eneo lina square meter 100 (100 m²) tafsiri yake rahisi ni ipi?
Je maana yake kila upande uko sawa kwa mita 100 kwa maana ya urefu na upana?
Au eneo linakua kubwa au dogo zaidi ya mita 100? Kwa kila upande?
Naomba kufahamishwa.
Ahsante.
Square(mraba) uwe na urefu na upana wa mita moja
Inamaana sasa kama eneo ni la 100m²,maana yake lina miraba 100 yenye urefu na upana wa mita moja kila mmoja.
Asante mkuu nimepata vizuri kwa maelezo yako nikijazia na #5Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
... haihitaji pande zote kuwa sawa! Inaweza kuwa square-shaped, rectangular, triangular, circular, or any polygon or shape as long as the combined areas sum to that size. Tanzania ina ukubwa wa sijui 945,000 sq. km. Does it mean the country is square-shaped?10m*10m
Umenifanya nicheke. Safi sana hence inaaply 50 metres mara 2metres, 25meters mara 4 metres etc. Naamini umeelewa sasa!Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
Wrong! Not always the case. Unamkaririsha mwenzio kwamba 100sq.m sharti urefu na upana wa eneo viwe sawa - wrong!Au cheki mchoro huu hapa ila vyumba vyote marefu na mapana yanatakiwa yawe sawa yaani urefu mita moja na upana mita moja, Ukihesabu vyote utakuta vyumba 100. Sasa hamishia mawazo ya kwenye uwanja pia rejea comment namba 5 utaelewa zaidi sasa halafau leta mrejesho kama imeingia kumkichwa
View attachment 1139935
Ndio maana kama hela ipo watu wanajenga kwendab juuAsante mkuu nimepata vizuri kwa maelezo yako nikijazia na #5
Kiuhalisia kumbe hili ni eneo dogo tu kama ni ardhi(kwa maana ya 10m*10m)Square meter kumi kila upande.
Wrong! Not always the case. Unamkaririsha mwenzio kwamba 100sq.m sharti urefu na upana wa eneo viwe sawa - wrong!
... soma comment no. 11; nimeandika hivi:-OK i stand tovbe corrected nimemwambia asome pia comment no 5 tupe uelewa wako wa square
... soma comment no. 11; nimeandika hivi:-
... haihitaji pande zote kuwa sawa! Inaweza kuwa square-shaped, rectangular, triangular, circular, or any polygon or shape as long as the combined areas sum to that size. Tanzania ina ukubwa wa sijui 945,000 sq. km. Does it mean the country is square-shaped?