Wakuu heshima kwenu.
Baada ya kuumizwa kimapenzi na kuzingatia ushauri wenu nimepata ahueni kubwa sana.
Baada ya hayo yote nimechukulia Poa na nakula vyombo.Usiulize ni vyombo gani?
Mungu awabariki.
Wakuu heshima kwenu.
Baada ya kaumizwa kimapenzi na kuzingatia ushauri wenu nimepata ahueni kubwa sana.
Baada ya hayo yote nimechukulia Poa na nakula vyombo.Usiulize ni vyombo gani?
Mungu awabariki.
Mwanaume unajiita tamuuu? Lazma uumizwe aisee.
Hongera kwa kupata suluhisho la. Matatizo yako. Kamata health insurance manake soon afya itakupa majibu yako kwenye figo, ini na magoti/joints