Nipo serious

Hivi nyie mnajidai mnataka wanawake virgin na mimi nataka mwanaume virgin tusipeane presha
 
Nilitaka nife na utamu wangu .ila kwa heshima yako na upendo wangu kwako itabidi nikutunuku ..kama upo serious karibu pm
Kama unasema kweli nataka nikuapishe membele ya kadamnasi ya jforum
 
Naomba uking'atwa ukawekwa alama pale utakapoomba akukiss usije kulalamika hapa....
 
Mimi niko ila siko tayari kuwa na wewe kwa sasa nafanya yangu kwanza sitaki presure
 
Niapishe tu Mimi sina neno ..sababu nimedhamiria kukutunuku
Sema naapa mbele za Kadamnasi ya Jamii forum kuwa sijamla demu yeyote wala kumkiss nakama nadanganya nisisimamishe milele .
Rudia kuandika haya maandiko kwa herufi kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…