Ahsante sanaUSITHUBUTU KUACHA KAZI HII YA SERIKALINI.... Ukiacha masomo kuna chance ya kurudi masomoni lakini ukiacha kazi ni ngumu kupata chance tena serikalini.
Sasa ufanyeje..
Nimekupata vema sana. Ngoja nikafanye kazi, sauti ya wengi ni sauti ya MunguNakushauri hiki kutoka moyoni. Nakushauri hiki kwa kuwa nimeshapitia situation kama yako.
Mimi nilipostpone masomo nikiwa mwaka wa pili chuoni. Nikaenda kufanya kazi. Niliajiriwa kwa level ya diploma niliyoombea. Nikafanya kazi miaka mitatu ndo nikapata ruhusa ya kurudi tena chuoni...
Kafanyekazi kwanza rudisha hela za mkopo.Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.
Ile sauti ya ndani kabisa ya kutoa ushauri mwaka 2017 nilipopata ajira ya serikali nikiwa private sikuisikiliza miaka miwili baadae yaani 2019 nilifukuzwa private kama MBWA mwizi.Nakushauri hiki kutoka moyoni. Nakushauri hiki kwa kuwa nimeshapitia situation kama yako.
Mimi nilipostpone masomo nikiwa mwaka wa pili chuoni. Nikaenda kufanya kazi. Niliajiriwa kwa level ya diploma niliyoombea. Nikafanya kazi miaka mitatu ndo nikapata ruhusa ya kurudi tena chuoni.
Kwasasa nipo chuoni nimeanza mwaka wa kwanza. Najivunia maamuzi niliyochukua mwanzo mosi yamenipa faida nyingi.
Nimerudi chuo nikiwa nimeshajenga, japo sijamalizia rasmi atleast naweza kuhamia na maisha yakasonga. Kupitia kazi nimejenga connection ya kutisha, nina experience ya kutisha, naheshimika, nina marafiki, nimejifunza mengi.
Kwasasa nasoma kwa amani na kwa malengo sina presha ya ajira sababu ninayo mkononi.
Nakushauri sikiliza moyo wako zaidi. Sikiliza ile sauti ya ndani ndo hutoaga muelekeo wa maisha ya mtu. Si lazma upitie njia niliyopitia mm.
Fanya maamuzi sahihi,Hakikisha unafurahia maamuzi utakayoyachukua.
All The Best.
Serikali kuna security ya kazi ingawa maslahi ni kuvumiliana.Ile sauti ya ndani kabisa ya kutoa ushauri mwaka 2017 nilipopata ajira ya serikali nikiwa private sikuisikiliza miaka miwili baadae yaani 2019 nilifukuzwa private kama MBWA mwizi.
Mwaka 2020 nilibahatika kurudi tena serikalini tena kwa connection aiseee ile situation isikie tu kwa mwenzako.
Nimeona tu nikafanye kazi Kiongozi then nitaona namna ya kuendelea na shuleMleta mada fuata miongozo hiyo...
MD ni degree ya miaka mingi pamoja na internship hivyo lazima uwe makini. Kwanza jitahidi umalize mitihani yako. Pili uwe muwazi kwa wahusika. Muone kwanza academic advisor wako ujue unaweza kuahirisha masomo kwa miaka mingapi. Pili nenda kazini ulipo pangiwa waeleze nia yako ya kazi na pia hitaji lako la kumaliza masomo yako. Wasikilize kwa umakini hasa kuhusu miaka ambayo unatakiwa ufanye kazi kabla hujaruhusiwa kwenda masomoni. Tatu fanya maamuzi na Nne tekeleza. Hakikisha chuo una ahirisha masomo kwa maandishi. All the best.Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.
Ahirisha chuo kapige kazi the utarudi shule kujiendelezaHabarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.
Una akili au matope mkuu?Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.
Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira.
Sasa hapa nipo njia panda hasa na nimesikia hizi ajira usipoenda ndo basi huajiriwi tena, changamoto zaid chuo nimepata mkopo, kichwa cha moto sana hapa kwenye kufanya maamuzi.
Naomba mawazo yenu wakuu.