Shikamooni jamaani
Mi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza form six next year kama MUNGU akinijalia....tatizo langu ni kwamba mi kwasasa nasoma combination CBG lakini kumekua na uvumi kwamba et yaani course za afya au vyuo vya afya hatuweZi Ku apply kwasababu hatuna physics.....daah hebu nisaidieni jamani. Maana nipo njia panda
Hapo umekosa labda enviromental... labda uanzie diploma kama unaipenda kweli MD.Mi napenda saana....kusomea phamarcy au hata MD
Usichanganyikiwe bana we soma umalize utajua mbeleni tu. Hakikisha tu unakomaa ufaulu vizuri na div 1. Hayo tu.Shikamooni jamaai
Mi ni mwanafunzi wa kidato cha sita natarajia kumaliza form six next year kama MUNGU akinijalia....tatizo langu ni kwamba mi kwasasa nasoma combination CBG lakini kumekua na uvumi kwamba et yaani course za afya au vyuo vya afya hatuweZi Ku apply kwasababu hatuna physics.....dash hebu nisaidieni jamani. Maana nipo njia panda
Btw, pitia guide book itakusaidia ya mwaka huu 2017/18 huwenda mwakani wakabadilisha kama walivyobadilisha mwaka huu.Shida mweee
Kwani physics ya olevel hawawezi kuitazamia?
Wanaitizama na hata ukiwa na f ya phys bado wanakuchukua kwa kujua kuwa una basic knowldge ila inategemeana sana unaenda kusoma nini na umefaulu vipiKwani physics ya olevel hawawezi kuitazamia?
Hata dip wanazingua namatokeo yangu (cwez weka hadharan labda inbox) lakin bado nipo mtaaniHapo umekosa labda enviromental... labda uanzie diploma kama unaipenda kweli MD.
Mpaka hapo ...na cbg huwezi kuiona MD wala pharmacy hata upate one 3Mi napenda saana....kusomea phamarcy au hata MD