Nipeni sifa za wanawake wafupi!

Wanawake wafupi walinishangaza kwenye ishu moja kwenye kitanda wanahama hama kila kona ya kitanda maana kitanda ni mstatili lakin bado akiangalia kusini anafit akiangalia kaskazini anafit akiangalia magharibi vile vile , sasa sisi wanaume warefu unashtukia magoti yanagonga ukingo wa kitanda, kenyewe kanahama hama tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…