Nipeni sifa za wanawake wa kisukuma

DASM

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
2,422
Reaction score
3,001
Natarajia Mungu akinijalia na mambo yakienda Sawa nategemea kuoa mwananke wa kisukuma kutokea kisesa Mwz . Nipo najichanga ili nipeleke mahali by mwezi wa nne hapo. Kwa appearance mtoto ni very white and beautiful. Nitajieni sifa za wanawake wa kisukuma
 
Unapata mke ndo unatafuta sifa zake vipi usipozipenda utamuwcha?
 
Mwenzio kaambiwa mahari ng'ombe 50, vipi kwa upande wako?
 
Mbona nyuzi za hivi zinazidi sana kulikoni?

Tembelea uzi huu wa ndugu yako utapata majibu....By the way unaoa mtu au kabila?


Na mwingine huu hapa:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…