Nipeni njia ya kusafisha mkojo bila kutumia dawa

Nipeni njia ya kusafisha mkojo bila kutumia dawa

hehe! watanzania kama nyinyi ndio huwa mnastahiri kupigwa mfe daktari kakupima kagundua tatizo kakuambia uchukue dawa na hautaki unakuja humu kutafuta dawa tena!!!! nina kila haja yakukuita zwazwa.
 
hehe! watanzania kama nyinyi ndio huwa mnastahiri kupigwa mfe daktari kakupima kagundua tatizo kakuambia uchukue dawa na hautaki unakuja humu kutafuta dawa tena!!!! nina kila haja yakukuita zwazwa.
Ndo hawa poor brain tunao tafutaga..
Inamana doctor hana akili ya kumwambia anywe maji mengi au matunda .. 🙌🙌🙌🤓🤓

Jamaa ajui kuwa kwa hatua aliyofikia better way ni dawa kwanza, kuhusu maji na matunda ina depend na stage ya kuchafuka kwako kwa mkojo..

Hivo ndgu yangu Abdull hameed
Fata alichosema dactar acha mambo mengine.
 
Ndo hawa poor brain tunao tafutaga..
Inamana doctor hana akili ya kumwambia anywe maji mengi au matunda .. 🙌🙌🙌🤓🤓

Jamaa ajui kuwa kwa hatua aliyofikia better way ni dawa kwanza
Halafu swala la kunywa maji nakula matunda ni un kwepabo!. madaktari wamekuwa wakihubiri hili ni wajibu wetu huyu anafaa kupigwa tu nothing else
 
Nimeambiwa mkojo mchafu kidog0, nimeandikiwa dawa ila kwa kweli sijanunua izo dawa nipeni tu njia za kusafisha mkojo kama zipo.
''Mkojo wako ni mchafu (kidogo)'' hii sentensi ni ya hatari sana sana kwenye duru za afya za watu. Kwenye medical terms hakuna kitu kama ''mkojo mchafu''. Kwanza huu usemi unakanganya sana na unafanya watu watumie dawa au matibabu bila utaalam. Wewe ulitakiwa umuulize huyo aliyekuambia: Ni nini hasa kimeonekana kwenye kipimo?
Je, ni maambukizi au uchafu wa sampuli? Kwa kifupi huu usemi hutumika kama shortcut ya kupiga fedha za wagonjwa. Dr anatakiwa akuambia kinagaubaga ni nini hasa anaanisha kwa kusema mkojo ni mchafu? Bila kujua tatizo hasa ni nini huwezi kutibu. NB HAKUNA DAWA ZA KUSAFISHA MKOJO bali kuna dawa za kutibu tatizo maalum...
 
Vipi dawa za kienyeji, au nazo hutaki kutumia?

Unapokuwa na mchafuko wa mkojo, inaonesha kuna bacteria kwenye mfumo wako wa mkojo ambao ili wafe unalazimika kunywa hizo dawa ama uchomwe sindano

Miaka yetu ya zamani, ilikuwa tunatumia mitishamba kupona kabla hizi Azuma zenu hazijaanza kutolewa huko Mahospitalini
 
Nimeambiwa mkojo mchafu kidog0, nimeandikiwa dawa ila kwa kweli sijanunua izo dawa nipeni tu njia za kusafisha mkojo kama zipo.
Tumia dawa ulizoandikiwa na daktari, hasa kama ni antibiotics maana hapo inamaanisha tayari una infection.

Kunywa maji mengi ni moja ya kinga za kutopata maambukizi ya njia ya mkojo ila kama umeshayapata, maji hayatakutibu. Worst case, usipojitibu ugonjwa unaweza kuwa mkubwa hadi ukaathiri figo zako.
 
Vipi dawa za kienyeji, au nazo hutaki kutumia?

Unapokuwa na mchafuko wa mkojo, inaonesha kuna bacteria kwenye mfumo wako wa mkojo ambao ili wafe unalazimika kunywa hizo dawa ama uchomwe sindano

Miaka yetu ya zamani, ilikuwa tunatumia mitishamba kupona kabla hizi Azuma zenu hazijaanza kutolewa huko Mahospitalini
Dawa za kienyeji hizi za bila vipimo zimeua figo za watu sana.
 
Nimeambiwa mkojo mchafu kidog0, nimeandikiwa dawa ila kwa kweli sijanunua izo dawa nipeni tu njia za kusafisha mkojo kama zipo.
Aaargh nyie wadada wengi siku hizi mna UTI sugu. Sina hamu kabisa na wanawake wa Tz kwa sasa.
 
hehe! watanzania kama nyinyi ndio huwa mnastahiri kupigwa mfe daktari kakupima kagundua tatizo kakuambia uchukue dawa na hautaki unakuja humu kutafuta dawa tena!!!! nina kila haja yakukuita zwazwa.
Medicine don't heal they mask the symptoms
Maji ndio njia sahihi we need to deal with extracellular cleaning and body physiology hao madokta wa bongo wanameza sana tangia watuingize mkenge kwenye chanjo ya corona sina imani nao
 
Back
Top Bottom