J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
WanajF,Nina masikitiko.Nchi yangu si maskini!Hata kidogo.Najua wengine humu watasema nimevuta bhange au nimelewa,sivyoo,ni kwamba Wtz wa leo wengi ni jobless na hawajutii hilo,kwao poa tu,cv za wengine super phd,masters,adv dipl etc NO KAZI.Sasa mnipe nchi mtaona mabadiliko.Matumizi makubwa yasiyo ya lazima,NO.Waziri atembele ESCUDO,Naibu COROLLA.RC atembelee HONDA,DC atembelee baiskeli.W.Mkuu atembele RAV 4,Mimi nitatembelea 110.Pesa nitakazokuwa nimeokoa niwanunulie WANANCHI matrekta kila kijiji kilime nalo,wananchi lazima kulima sana,hakuna kucheza pool n.k.Niwajengee Zahanati kila kata,niimarishe hospitali Za mikoa,uzembe kwa mali ya UMMA mwiko,fedha mpaka senti maelezo ya kutosha,ukishindwa majukumu kaa kona uone ilivyo kazi kukaa bila kazi. Unajua tumbo lako ni ajira yako?Nina mengi sana mema.NINA NIA NJEMA,NAOMBA NCHI NIINYOOSHE...(SAUTI ISIYOSIKIKA)Nawasilisha.