Mzigua_255
JF-Expert Member
- Jun 25, 2026
- 814
- 1,647
Wewe mgeni umekuja na mada nzito kweri kweri. Nakushauri tu hapa JF andika sana ila usiwe msahaulifu, kuna kitu inaitwa "kufukua makaburi" .Wakuu kichwa kinajieleza nipeni mbinu nisipende tena mana nimesalitiwa kibao wewe uliwezaje kukabiliana changamoto za kupenda usipopendwa?
karibun wote
Kichwa kipi cha huyo nyoka au huyo kenge?Wakuu kichwa kinajieleza
Mbona mimi ni nice guy na maisha yanasongaWamekusaliti? Mlikuwa mmefunga ndoa?
Wanawake wanataka wanaume wenye tabia za kibad boy, punguza wema.
Lazima utumikeMbona mimi ni nice guy na maisha yanasonga
Hiyo haipoLazima utumike
Mbona zote ni id za kiumePole sana,
Kuna mtu anaitwa mshamba_hachekwi na mnaweza kuwa a perfect match😂
Wtf jamma mtoa mada ni dume?Mbona zote ni id za kiume
Usipende mpaka upendwe, tafufata pesa jenga mwili, jitengenezee thamani.Wakuu kichwa kinajieleza nipeni mbinu nisipende tena mana nimesalitiwa kibao wewe uliwezaje kukabiliana changamoto za kupenda usipopendwa?
karibun wote
Kupitia michango yake inaonesha ni dumeWtf jamma mtoa mada ni dume?
Eti Mzigua_255 wewe ni dume au jike?Kupitia michango yake inaonesha ni dume
Ila Jf si unaijua watu waigizaji kinoma
Yap mi mwanaume cha ajabu nini mkuuWtf jamma mtoa mada ni dume?
A.k.a JF VAR CHECKWewe mgeni umekuja na mada nzito kweri kweri. Nakushauri tu hapa JF andika sana ila usiwe msahaulifu, kuna kitu inaitwa "kufukua makaburi" .
Wapi nimewah kujifanya ashura?Kupitia michango yake inaonesha ni dume
Ila Jf si unaijua watu waigizaji kinoma