Nipeni hasara ya kumpenda mwanamke kwa dhati

Nipeni hasara ya kumpenda mwanamke kwa dhati

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
Hii dunia ya sasa totozi ni nyingi sana. Na hazikatai kabisa . Sasa nimetokea kumpenda ghafla dada mmoja kwa dhati kabisa. Sasa sijui atachukua advantage na kuanza mbwebwe au vipi? Maana wasema dawa ya mwanamke ni mwanamke so ukiwa mchepukaji Mapenzi yanadumu!
 
Ngoja tusubiri wahusika maana sie wengine tuna yetu tumechuna tu
 
Mkuu endelea kumpenda akiwa 'that' hivyo hivyo. Ukiingia kwenye upendo wa this na yeye akabaki huko huko "that".
Basi unaelekea kwenye heart problems( heart attack yaweza husika pia).
On the bright side, u will live so good luck!
 
They say 'don't cross the bridge until you come to it'. We zama tu ukitoboa poa, ukipewa za uso rudi tukupe pole. Besides, kama umependa kwa dhati kweli, mashaka yanatoka wapi brother?
 
Haaaa.. Unampendaje kwa dhati!? Mama yako huyo!?

Kwanza Piga tu (PT).. Kama unataka kujua mwanamke ni pasua ubongo jifanye unampenda kwa dhati..
 
Mwanamke ndio anaependa kwa dhati chalii sasa we subiri ajue umemfia cha mtemakuni utakiona
 
Ujue nduguzanguni kama ulisha wahi kupenda kweli, basi kwa kifupi mapenz hayafichiki hata ukijitahid kusema usijioneshe kua umemfia sana lazma utajionesha tu
 
kama sio bikra mpende kwa umakini sana..

maana wajanja washapita kitambo na myda wowote wakitaka wanapita tena kama wananawa vile..

kama bikra hajaguswa hapo zimika mpaka uzimuke mwenyewe kwa upendo
 
Ipende kwa dhati kama unavyosema ww kupigiwa kupo palepale mm ninachojua wao ndio hupenda kwa dhati na ukimuonyesha kua unampenda dooh basi tena
 
Umewaka tamaa, hakuna kupenda kwa dhati.
 
Back
Top Bottom