Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,169
- 4,985
Wana MMU natumai mko poa. Hili ndio jukwaa lililotulia kidogo kwa sasa kwa hiyo ngoja tujimwayemwaye huku tuu. Huko kwingine kuna kelele sana. Kila mahali ukipita ni Jafo-Magufuli, Magufuli-Jafo.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unamchukuliaje mpenzi wako awe wa kike/kiume ambaye mmetoka kugombana sana mpaka mmefikia hatua ya kila mtu kuchukua hamsini zake kisha anakuambia lets do for the last time? Je ni wangapi imewahi kuwatokea? Na ulipoambiwa hivo ulikubali ama ulikataa?
Binafsi imenitokea mara 2. Mara ya kwanza huyu manzi tulizinguana naye sana, tuliparangana usiku mzima. Kufika asbh tukaafiki kila mtu achukue hamsini zake. Tulikuwa tuna cohabit so nikaamue niondoke mimi nimuache yeye hapo kweny hiyo apartment. Lakini cha kushangaza kabla sijaondoka nikashtukizwa na "lets do it for the last time you motherfu*ker". Baharia sikujivunga nikai-hit harder then huyooo nikayeya.
Wa pili ni juzi juzi tuu. Alinifumania red-handed na texts za manzi mwingine. Tulifanya timbwili la hapa na pale lakini baadae akatulia. Kwa kuwa ilikuwa usiku tukalala akiapa asubuhi ataondoka na ndio mwisho wa mahusiano yetu. Usiku mzima tukalala mzungu wa nne. Imefika mida ya majogoo nikashangaa nasogelewa na kukumbatiwa.
Huyu wa sasa nashukuru hajaondoka, ilipofika asubuhi nikashangaa tunaendelea na maisha mengine kama kawaida.
¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥
Reply konki
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unamchukuliaje mpenzi wako awe wa kike/kiume ambaye mmetoka kugombana sana mpaka mmefikia hatua ya kila mtu kuchukua hamsini zake kisha anakuambia lets do for the last time? Je ni wangapi imewahi kuwatokea? Na ulipoambiwa hivo ulikubali ama ulikataa?
Binafsi imenitokea mara 2. Mara ya kwanza huyu manzi tulizinguana naye sana, tuliparangana usiku mzima. Kufika asbh tukaafiki kila mtu achukue hamsini zake. Tulikuwa tuna cohabit so nikaamue niondoke mimi nimuache yeye hapo kweny hiyo apartment. Lakini cha kushangaza kabla sijaondoka nikashtukizwa na "lets do it for the last time you motherfu*ker". Baharia sikujivunga nikai-hit harder then huyooo nikayeya.
Wa pili ni juzi juzi tuu. Alinifumania red-handed na texts za manzi mwingine. Tulifanya timbwili la hapa na pale lakini baadae akatulia. Kwa kuwa ilikuwa usiku tukalala akiapa asubuhi ataondoka na ndio mwisho wa mahusiano yetu. Usiku mzima tukalala mzungu wa nne. Imefika mida ya majogoo nikashangaa nasogelewa na kukumbatiwa.
Huyu wa sasa nashukuru hajaondoka, ilipofika asubuhi nikashangaa tunaendelea na maisha mengine kama kawaida.
¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥¥
Reply konki
Nipe kabla hujaondoka - nani mwingine alishawahi kupewa hii ofa?
Wana MMU natumai mko poa. Hili ndio jukwaa lililotulia kidogo kwa sasa kwa hiyo ngoja tujimwayemwaye huku tuu. Huko kwingine kuna kelele sana. Kila mahali ukipita ni Jafo-Magufuli, Magufuli-Jafo. Niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unamchukuliaje mpenzi wako awe wa kike/kiume ambaye mmetoka...
www.jamiiforums.com