nipe dakka moja

nipe dakka moja

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,817
Reaction score
5,403
Mchamungu: bwana, hivi miaka milioni mia moja moja ni sawa na muda gani kwako? Malaika mkuu: Ni kama dakika moja Mchamungu:na shilingi milioni mia moja za kitanzania ni kama shilingi ngapi kwako? Malaika mkuu: Ni kama senti moja tu Mchamungu: bwana, naomba unipe senti moja Malaika mkuu: Nisubiri dakika moja
 
Back
Top Bottom