TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,810
Kazi Kubwa ya Serikali Katika Uchumi wa Soko huria sio Kufanya Biashara wala Kuchukua Fedha za Kodi kufanyia Biashara za Alinacha na Abunuwasi. Kazi Kubwa ya serikali Katika Uchumi wa soko huru, Ni kujikita zaidi na 1) Kujenga infrastructure, kama Barabrara Reli, Viwanja vya Ndege, Bandari.
2) Kuimarisha Technologia ya Mawasiliano Kama Communication Satellite, Fiber optics backbones, na Mitandao mingine ya Mawasiliano, Bila kusahau njia kuu za usambazaji wa umeme.
3)Kuimarisha elimu na Utafiti, 4) Kuimarisha Huduma za Afya.
5) Kulinda Nchi na usalama wa Raia na Kuhakikisha kunakuwepo haki, utawala wa sheria. amani na Stability.
6) Kuhakikisha Kama Taifa kuna sera ya Kuhakikisha Kuwepo na Food security.
7) Kugharimia Uendeshaji wa kila siku wa serikali, Sio kubeba bakuli, na kuomba omba pesa za kuendesha serikali nchi zingine wakati kodi zenu mnazitumia vibaya kununua ndege kutaka sifa za kijinga. Kwani wahisani wawape pesa wao wanazipata mbinguni? Si ni kodi za wananchi wao. Sikatai kusaidiwa kama nchi lakini musaidiwe pale ambapo mumeonyesha responsibility!
Kwa Kufupisha Ni Kuwa Niseme Kazi za Kwanza za Muhimu kwa Kodi za Wananchi ndizo hizo. Kama hayo mambo hapo juu unayapuuza na Unachukua fedha za Kodi tena bila kuheshimu budgeti, Unaenda Kufanyia Biashara ambayo ingefanywa na sector binafsi, Tena biashara zenyewe ni Kuchukua Pesa Keshi za Umma na kunulia Ndege ambazo zinaweza kucrush kesho, huku wamama wakinunua gloves za kuhudumiwa wakiwa katika Uzazi, Huo ni Wazimu, Wazimu wa Karne!
2) Kuimarisha Technologia ya Mawasiliano Kama Communication Satellite, Fiber optics backbones, na Mitandao mingine ya Mawasiliano, Bila kusahau njia kuu za usambazaji wa umeme.
3)Kuimarisha elimu na Utafiti, 4) Kuimarisha Huduma za Afya.
5) Kulinda Nchi na usalama wa Raia na Kuhakikisha kunakuwepo haki, utawala wa sheria. amani na Stability.
6) Kuhakikisha Kama Taifa kuna sera ya Kuhakikisha Kuwepo na Food security.
7) Kugharimia Uendeshaji wa kila siku wa serikali, Sio kubeba bakuli, na kuomba omba pesa za kuendesha serikali nchi zingine wakati kodi zenu mnazitumia vibaya kununua ndege kutaka sifa za kijinga. Kwani wahisani wawape pesa wao wanazipata mbinguni? Si ni kodi za wananchi wao. Sikatai kusaidiwa kama nchi lakini musaidiwe pale ambapo mumeonyesha responsibility!
Kwa Kufupisha Ni Kuwa Niseme Kazi za Kwanza za Muhimu kwa Kodi za Wananchi ndizo hizo. Kama hayo mambo hapo juu unayapuuza na Unachukua fedha za Kodi tena bila kuheshimu budgeti, Unaenda Kufanyia Biashara ambayo ingefanywa na sector binafsi, Tena biashara zenyewe ni Kuchukua Pesa Keshi za Umma na kunulia Ndege ambazo zinaweza kucrush kesho, huku wamama wakinunua gloves za kuhudumiwa wakiwa katika Uzazi, Huo ni Wazimu, Wazimu wa Karne!