Luv JF-Expert Member Joined Aug 29, 2013 Posts 2,740 Reaction score 6,114 Feb 9, 2014 #21 Heaven on Earth said: Muongo huyo...ila na sie tumeamua kumjibu kwa style alokuja nayo Click to expand... Umeonaee bila hivyo tutakuwa hatuendi nae sawa
Heaven on Earth said: Muongo huyo...ila na sie tumeamua kumjibu kwa style alokuja nayo Click to expand... Umeonaee bila hivyo tutakuwa hatuendi nae sawa
P Powel Mizengo Senior Member Joined Jan 20, 2014 Posts 126 Reaction score 24 Feb 9, 2014 Thread starter #22 utafiti said: Lakini kichwa cha habari ameandika "niokoeni jamani" hapo pia ni mfano? Click to expand... Jamani,,ninyi mnafikiri siyo mfano huo?
utafiti said: Lakini kichwa cha habari ameandika "niokoeni jamani" hapo pia ni mfano? Click to expand... Jamani,,ninyi mnafikiri siyo mfano huo?
salimkabora JF-Expert Member Joined Nov 10, 2012 Posts 2,441 Reaction score 653 Feb 9, 2014 #23 Powel Mizengo said: Sasa wakija nifuma waombolezaji nipo uvunguni afu nipo na suti yangu ya Adam! Huoni utakuwa msala@Eve Click to expand... Watajua umerukwa na akili kwa kifo cha bibi ila hawatajua tu uliingiaje humo na saa ngapi kila mtu anajua pilika za msibani ni nyingi hakuna mtu maalum wa kumlinda mwenzake
Powel Mizengo said: Sasa wakija nifuma waombolezaji nipo uvunguni afu nipo na suti yangu ya Adam! Huoni utakuwa msala@Eve Click to expand... Watajua umerukwa na akili kwa kifo cha bibi ila hawatajua tu uliingiaje humo na saa ngapi kila mtu anajua pilika za msibani ni nyingi hakuna mtu maalum wa kumlinda mwenzake
Tyta JF-Expert Member Joined May 21, 2011 Posts 12,767 Reaction score 10,536 Feb 9, 2014 #24 we toka tu mzee
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Feb 9, 2014 #25 Yan bibi afie hospital maiti iletwe nyumbani? Wanazika usiku? Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Yan bibi afie hospital maiti iletwe nyumbani? Wanazika usiku? Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
P pain killar Senior Member Joined Feb 9, 2014 Posts 154 Reaction score 13 Feb 9, 2014 #26 hahahah mbona utaomba poh! wakat wanamuosha sasa! uwiiii!
64Bits JF-Expert Member Joined Aug 4, 2012 Posts 961 Reaction score 565 Feb 9, 2014 #27 badiebey said: So,una'report kutoka chini ya uvungu till now???!! Click to expand... Teheeee u made my day dah nimecheka sana
badiebey said: So,una'report kutoka chini ya uvungu till now???!! Click to expand... Teheeee u made my day dah nimecheka sana
Ennie JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 7,137 Reaction score 4,138 Feb 9, 2014 #28 Kwa Hiyo nguo zimelaliwa na mwili wa bibi ila simu uliingia nayo uvunguni!!!