Ndugu Mulama kwa hilo kwenye Blue hutafanikiwa kamwe FYI humu watu wana ID kibao za kike na kiume pia so hiyo ngumu Mkuu.
Pole lakini na samahani kama nimekukwaza.
Off topic: Umefikia wapi na mkeo umesema nae au ndo aje sasa? By the time naona kama mambo yanazungumzika tu hayo madogo sana hakuna kinachoshindikana chini ya jua bana hebu tupe feedback basi.