Nioe au nijenge kwanza?!

Hata ndege wa angani uanza kujenga kiota kisha ndio utaga....jenga kijana ukipata makazi ya kudumu hata amani moyoni hutamalaki, ukija kuoa hata vita vya kimaisha huwa sio vikali sana.
haya maisha haya jua likizama halafu pa kuweka ubavu huna uhakika napo inaumiza sana.
 
Amina saaaan mkuu,,, inatakiwa kufunga maombi kabisa mkuu kumpata mke sahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa,,maana pakuweka ubavu ni pamuhimu saan,unajikuta una familia kubwa na kuweka akiba ya kujenga inakuwa changamoto,labda kama upo site nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jenga kwanza dogo... Me nakumbuka umri wako nilianza kujenga now Niko 30 nimemaliza asilimia 98 na nimeshahamia tayari xo ndio mawazo ya kuoa yanaanza Kuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…