Ivo Sabasi IS New Member Joined Mar 1, 2018 Posts 2 Reaction score 0 Mar 2, 2018 #1 Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"? Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?
Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"? Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?
ankai JF-Expert Member Joined Nov 25, 2017 Posts 3,282 Reaction score 4,259 Mar 2, 2018 #2 Ngoja wenyew waje apa
C CRYPT JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 381 Reaction score 810 Mar 2, 2018 #3 Kwa mbaali naskia harufu ya watu kuingizwa mjini........
Bishop Hiluka JF-Expert Member Joined Aug 12, 2011 Posts 7,147 Reaction score 14,711 Mar 2, 2018 #4 Isije ikawa DECI nyingine, maana Wabongo kwa kubuni njia za kupata pesa za ujanja ujanja hatujambo...
Isije ikawa DECI nyingine, maana Wabongo kwa kubuni njia za kupata pesa za ujanja ujanja hatujambo...
C commando general Member Joined Jan 13, 2018 Posts 43 Reaction score 26 Mar 2, 2018 #5 Kopa milioni 10,upate bajaj moja bure!akili za kuambiwa changanya na za kwako
MastaKiraka JF-Expert Member Joined Jan 10, 2015 Posts 6,535 Reaction score 21,845 Mar 2, 2018 #6 Watanzania tumekua wajinga sana. Inasikitisha kuona / kuja kusikia watu wametapeliwa kizembe namna hiyo.
Watanzania tumekua wajinga sana. Inasikitisha kuona / kuja kusikia watu wametapeliwa kizembe namna hiyo.
C chiefkwanza Member Joined Apr 16, 2012 Posts 26 Reaction score 24 Mar 2, 2018 #7 Waongo hao hawana ofisi kigamboni hayo maeneo ndio nakaa mimi hamna kitu kama hicho
taylor9119 JF-Expert Member Joined Nov 4, 2012 Posts 301 Reaction score 489 Mar 2, 2018 #8 Wezi tu hao,usije jaribu mkuu.