Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?

Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?

Ivo Sabasi IS

New Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
2
Reaction score
0
Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?

Nini ukweli wa app ya "credit fund'' association"?
588585f69c71c284ef35ee0a60108739.jpg
01d73bf991e91a73b4e95767ade2ccc6.jpg
37062d971934f08d8e9401473e8ae8b8.jpg
e6e83e3363d48527442940eb591509ae.jpg
7604aff1ab2a11daede76105b293528e.jpg
0b56ef998cbedc4ca44f930d6ea366d7.jpg
 
Kwa mbaali naskia harufu ya watu kuingizwa mjini........
 
Isije ikawa DECI nyingine, maana Wabongo kwa kubuni njia za kupata pesa za ujanja ujanja hatujambo...
 
Watanzania tumekua wajinga sana. Inasikitisha kuona / kuja kusikia watu wametapeliwa kizembe namna hiyo.
 
Waongo hao hawana ofisi kigamboni hayo maeneo ndio nakaa mimi hamna kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom