Nini Tatizo kwenye hii Samsung Note 4

Tatizo la kujizima ni betry kama ulivyoshauriwa na chief. Nilinunua note 5 November 2014 wakati zinaongia sokoni lakoni hadi sasa ni mara 3 nimebadili betri kwa tatizo hilo kama lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ni matumizi binafsi ya mtu ndiyo yanayoharibu simu,Natumia Note 4 tokea 2017 Jan, Mpaka leo haina shida kwenye Betry na sijawahi kubadilisha zaidi ya chaja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…