Nini tamko la TANESCO?

jaffari yogo

JF-Expert Member
Apr 3, 2014
685
148
Tanesco imetoa tamko gani kuhusu kukatika kwa umeme jana wakati bunge likiendelea? Ama walifanya kwa makusudi mazima? Halafu leo saa kumi macho ya wananchi wote yatatazama kujua hatima ya sakata hili la Escrow, hivyo wanaweza kufanya kama jana kukata Tanzania nzima kwa kauli ya mbunge mmoja wa Chadema niliyeongea naye kwa njia ya simu.
 
Last edited by a moderator:
Tanesco imetoa tamko gani kuhusu kukatika kwa umeme jana wakati bunge likiendelea? Ama walifanya kwa makusudi mazima? Halafu leo saa kumi macho ya wananchi wote yatatazama kujua hatima ya sakata hili la Escrow,

hivyo wanaweza kufanya kama jana kukata Tanzania nzima kwa kauli ya mbunge mmoja wa Chadema niliyeongea naye kwa njia ya simu akiwa bungeni.
 
Hayo yatakuwa maagizo ya Profesa Muhongo,si tulimuona Muhongo huyo huyo, ile juzi alipopewa masaa mawili kujibu, makombora ya PAC, akiwaagiza mameneja wote wa TANESCO wa mikoa nchi nzima wahakikishe kuwa wakati yeye analihutubia bunge, wahakikishe wanawasha umeme nchi nzima.

Kwa kuwa leo inaelekea ndiyo siku ya kutiwa 'kitanzi' kwa akina Werema, Maswi na yeye Muhongo, upo uwezekano mkubwa, yeye Muhongo akawaagiza mameneja wake, wazime umeme nchi nzima, ili wananchi wasishuhudie tukio la kihistoria la kusulubiwa kwake!
 
Tanesco imetoa tamko gani kuhusu kukatika kwa umeme jana wakati bunge likiendelea? Ama walifanya kwa makusudi mazima? Halafu leo saa kumi macho ya wananchi wote yatatazama kujua hatima ya sakata hili la Escrow, hivyo wanaweza kufanya kama jana kukata Tanzania nzima kwa kauli ya mbunge mmoja wa Chadema niliyeongea naye kwa njia ya simu akiwa bungeni.

Mpwa kamwe usitegemee tamko lolote la maana, kubali tu kuumizwa na wakati huo ni kutafuta muda na sisi tuwaumize
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom