Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,273
basi kamshauri hivo, kama ushaona ni kweli japo chunguNimekuelewa mkuu japo ni ukweli mchungu
basi kamshauri hivo, kama ushaona ni kweli japo chunguNimekuelewa mkuu japo ni ukweli mchungu
Yaah Mara nyingi tunafahamishwa kupitia ndoto
Nimekuelewa mkuu lakini sikukusudia kuonesha ukanda bali nilitaka kuonesha umbali uliopo kati yao wawili na uwezekano wa kuwa ndugu wa damu.
Ni kweli sio kila ndoto,ndio maana nikatumia neno "Mara nyingi" pia binadam tuko tofauti kama wee unaota uongo basi tupo tunaota ukweli, ndo maana hata maombi yapo yanayopokelewa na yapo yasiyo pokelewa.Sio kila ndoto zinaujumbe kwa ajili yetu....na sio kila ndoto inamanisha ndoto kuwa kweli.....nshaota mala kibao nafanya mambo ya maana ila nikistuka toka usingizini.....nakuta patupu.....Ndo ndoto zetu za dunia ya tatu..
Ni kweli sio kila ndoto,ndio maana nikatumia neno "Mara nyingi" pia binadam tuko tofauti kama wee unaota uongo basi tupo tunaota ukweli, ndo maana hata maombi yapo yanayopokelewa na yapo yasiyo pokelewa.
Poles kalagabaho!!!!Tafsri ya ndoto....ni njonzi za mambo ambayo yatakuja...ila mtu wa mwisho kuota ndoto za ukweli ni Yusuphu wa kwenye bible...
Poles kalagabaho!!!!