Nini tafsiri ndoto hii

Nini tafsiri ndoto hii

nyamalagala

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2016
Posts
744
Reaction score
675
Wakuu amani iwe kwenu nyote kwa nguvu za RABUKA.

Kama wengi wetu tulivyo, kama una rafiki yako mmeshibana hamkosi kuambiana mambo mengi ya kila nyanja.

Kuna rafiki yangu wa karibu sana na huwa tunashauriana mambo mengi kama ilivyo ada kwa marafiki.

Huyu rafiki yangu ana mpenzi wake na wana miaka miwili katika mapenzi yao.

Juzi aliamua kumwita ili apunguze baadhi ya mambo mwilini na kwa kuwa rafiki yangu yuko geto alilala na mpenzi wake mpaka asubuhi na ratiba ya usiku huo ilikuwa ni kugegedana mwanzo mwiaho.

Wakati wa mapumziko ya ratiba ya kugegeda,rafiki yangu anasema alipatwa na usingizi kutokana na uchovu alioupata wakati wa shughuli pevu.

Sasa cha ajabu wakati amesinzia aliota yuko anamgegeda dada yake wa kuzaliwa nae na katika ndoto hiyo aliota kuwa amekamatwa na mama yake Mzazi wakati wa mgegedo.

Baada ya hapo alishtuka kutoka usingizini lakini akipoangalia alimkuta mpenzi wake ndo yuko ubavuni mwake.

Baada ya ndoto hiyo rafiki yangu aliumia moyoni vibaya sana na hata hamu ya kupiga cha asubuhi njema hakuiwaza tena kwani alijiona mkosefu kupata ndoto ya kugegeda dada yake.Mpaka sasa hana hamu na mpenziwe.

Aliamua kunisimulia hali hiyo ili nimsaidie tafsiri ya ndoto hiyo maana anasema amekosa amani moyoni. Wakuu kama ungekuwa wewe ndo unaombwa ushauri ungemwambia nini juu ya hili.

Karibuni.
 
MOJA:ACHUNGUZE VZURI HUENDA HUYO MPENZI WAKE NI DADA YAKE LABDA BABA YAKE ALICHEPUKA

PILI: INAWEZAKANA ANAMTAMANI DADA YAKE LABDA DADA YAKE ANAA SHEPU NZUR NA NK

TATU" MLETA MADA JIFUNZE KUANDIKA VIZURI
 
Akatest ladha ya dadake akiona sawa ajue huyo dem wake nae ni dadake .
 
Mkuu mwanaume ni wa kanda ya ziwa na msichana ni wa manyara

Mkuu bado unaimani katika maswala ya ukanda.....mimi nipo dar ila nilizaa na mdada yupo Arusha.....chukulia huyo mtoto niamue yeye na mama yake tusijuane....alafu apate mwanaume mwingine na mm nioe mwingne.....unategemea nini kama sio Mungu siku moja kukuumbua wakagegedana?....Dam nzito kuliko maji....jamaa kesha mla dada yake mwambie hivyo....ni simple tu!.
 
Mkuu bado unaimani katika maswala ya ukanda.....mimi nipo dar ila nilizaa na mdada yupo Arusha.....chukulia huyo mtoto niamue yeye na mama yake tusijuane....alafu apate mwanaume mwingine na mm nioe mwingne.....unategemea nini kama sio Mungu siku moja kukuumbua wakagegedana?....Dam nzito kuliko maji....jamaa kesha mla dada yake mwambie hivyo....ni simple tu!.
Nimekuelewa mkuu lakini sikukusudia kuonesha ukanda bali nilitaka kuonesha umbali uliopo kati yao wawili na uwezekano wa kuwa ndugu wa damu.
 
MOJA:ACHUNGUZE VZURI HUENDA HUYO MPENZI WAKE NI DADA YAKE LABDA BABA YAKE ALICHEPUKA

PILI: INAWEZAKANA ANAMTAMANI DADA YAKE LABDA DADA YAKE ANAA SHEPU NZUR NA NK

TATU" MLETA MADA JIFUNZE KUANDIKA VIZURI
Mkuu nimekuelewa kwenye hoja zako mbili za awali.lakini ya tatu sijui nilipaswa kuandikaje maana umekosoa uandishi ila hujaonesha ilivopaswa kuandikwa.kama hutijali taja vitu vichache vilivyopaswa kuandikwa vizuri kwani utakuwa umenisaidia kuimarisha uandishi wangu.
 
Mkuu bado unaimani katika maswala ya ukanda.....mimi nipo dar ila nilizaa na mdada yupo Arusha.....chukulia huyo mtoto niamue yeye na mama yake tusijuane....alafu apate mwanaume mwingine na mm nioe mwingne.....unategemea nini kama sio Mungu siku moja kukuumbua wakagegedana?....Dam nzito kuliko maji....jamaa kesha mla dada yake mwambie hivyo....ni simple tu!.
Yaah Mara nyingi tunafahamishwa kupitia ndoto
 
Wakuu amani iwe kwenu nyote kwa nguvu za RABUKA.

Kama wengi wetu tulivyo, kama una rafiki yako mmeshibana hamkosi kuambiana mambo mengi ya kila nyanja.

Kuna rafiki yangu wa karibu sana na huwa tunashauriana mambo mengi kama ilivyo ada kwa marafiki.

Huyu rafiki yangu ana mpenzi wake na wana miaka miwili katika mapenzi yao.

Juzi aliamua kumwita ili apunguze baadhi ya mambo mwilini na kwa kuwa rafiki yangu yuko geto alilala na mpenzi wake mpaka asubuhi na ratiba ya usiku huo ilikuwa ni kugegedana mwanzo mwiaho.

Wakati wa mapumziko ya ratiba ya kugegeda,rafiki yangu anasema alipatwa na usingizi kutokana na uchovu alioupata wakati wa shughuli pevu.

Sasa cha ajabu wakati amesinzia aliota yuko anamgegeda dada yake wa kuzaliwa nae na katika ndoto hiyo aliota kuwa amekamatwa na mama yake Mzazi wakati wa mgegedo.

Baada ya hapo alishtuka kutoka usingizini lakini akipoangalia alimkuta mpenzi wake ndo yuko ubavuni mwake.

Baada ya ndoto hiyo rafiki yangu aliumia moyoni vibaya sana na hata hamu ya kupiga cha asubuhi njema hakuiwaza tena kwani alijiona mkosefu kupata ndoto ya kugegeda dada yake.Mpaka sasa hana hamu na mpenziwe.

Aliamua kunisimulia hali hiyo ili nimsaidie tafsiri ya ndoto hiyo maana anasema amekosa amani moyoni. Wakuu kama ungekuwa wewe ndo unaombwa ushauri ungemwambia nini juu ya hili.

Karibuni.
Pole jamaa yangu, nitakupm tuyajenge
 
anasema amekosa amani moyoni. Wakuu kama ungekuwa wewe ndo unaombwa ushauri ungemwambia nini juu ya hili.
1. Ningemshauri aache uzinzi
2. Kuzini ni dhambi
3. Uzinifu ni upotevu
3. Uzinzi ni uchafu
Mwambie akiendekeze kufunua funua hizo maku iko siku atamla hadi dada yake akikosa hao madem zake...
 
1. Ningemshauri aache uzinzi
2. Kuzini ni dhambi
3. Uzinifu ni upotevu
3. Uzinzi ni uchafu
Mwambie akiendekeze kufunua funua hizo maku iko siku atamla hadi dada yake akikosa hao madem zake...
Nimekuelewa mkuu japo ni ukweli mchungu
 
Wewe huwa u.unachungulia Dada zako acha hiyo tabia
 
Back
Top Bottom