Nini shida kwa mwenye dalili hizi?

ceicey

JF-Expert Member
Jul 6, 2015
306
355
Habari zenu,

Mimi ni msichana wa miaka 24, juzi kati baada ya kukutana kimwili na mume wangu nimeanza kusikia kichwa kuuma asubuhi, tumbo kuwa kama lina gesi na kuuma, mgongo kuuma, na kiuno.

Nina wiki sasa tangu nianze kusikia hizi dalili....

Naomba ushauri!
 
Maumivu ya mgongo na tumbo kujaa gesi(bloating) ni dalili za ujauzito

Katika vipimo utakavyofanya usiache Pregnacy Test
 
Habari zenu,

Mimi ni msichana wa miaka 24, juzi kati baada ya kukutana kimwili na mume wangu nimeanza kusikia kichwa kuuma asubuhi, tumbo kuwa kama lina gesi na kuuma, mgongo kuuma, na kiuno.

Nina wiki sasa tangu nianze kusikia hizi dalili....

Naomba ushauri!

ulipomwona mtaalamu alikwambiaje? ni vizuri kwa reference za watu wengine hapa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom