naona unataka kukamata fursa mkuu
kuna jamaa yangu haishi kumweka wife wake kwenye facebook eti hakunaga. wife akawa anamsifia unaona mwenzio kamweka mkewe kwenye mtandao, nikakauka kimya namjua jamaa ana michepuko km shina la muhogo. siku ya siku wife akashuhudia mr hakunaga na mchepuko
1.kipato+tamaa
2.kutomheshmu mwenza wake
3.kutojua thamani ya ndoa
4.umbali.
Lakini cha kushangaza huyu mdada ana unafiki wa hali ya juu sana pale anapoweka kwenye wall yake nakupenda sana mume wangu, mara sijaona kama wewe, wewe ndio kila kitu kwangu, mara asante yetu wewe ni mwokozi wangu, huku akiendekeza michepuko, .....
Huyo mme wake kashndwa kumhudumia mkewe,au mkewe ana tabia hyo kitambo,kuna wengne wanaolewa fashion ila they know nothing,ucjikatili kwa kutokuwa na mpango wa kuanzisha serious relationship kwa mifano ya hawa wasiojitambua.
ni sahihi kabisa, Moyo wa mtu ni giza neneUmbali unachangia 60%
Pia vile vile ikumbukwe tu
Kunguru hafugik
Triple A