Glory cutelove
New Member
- Sep 22, 2016
- 2
- 0
Naomba kuuliza mtu anawezaje kupata strock na zipi ni dalili za mtu kupata strock??
Jelous at work....Sababu za kupata Stroke zipo nyingi ila kwangu mimi ni kukuta mtu anamshughulikia mke wangu, hapo lazima nipate stroke
Mkuu hiyo ni moja ya sababu kuu za mwanaume kupata stroke usifanye mchezoJelous at work....
Ha ha ha.....Mkuu hiyo ni moja ya sababu kuu za mwanaume kupata stroke usifanye mchezo
Pamoja na sababu zingine ila don't forget kuwa na njia za kishirikina zinahusishwaKuna ischimie stroke hutokea mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye ubongo kuziba. Hii husababishwa na mabonge ya damu au high in cholesterol
Hemorrage stroke hutokea mishipa ya damu ikipasuka kutokana na high blood pressure.
Vyote husababisha ubongo kukosa oxygen
Kuna dawa zake hizo aina za stroke?Kuna ischimie stroke hutokea mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye ubongo kuziba. Hii husababishwa na mabonge ya damu au high in cholesterol
Hemorrage stroke hutokea mishipa ya damu ikipasuka kutokana na high blood pressure.
Vyote husababisha ubongo kukosa oxygen
Kuna dawa za kuprevent stroke ambazo ni blood thinning medicines na za kupunguza cholesterol level kwenye damu.Kuna dawa zake hizo aina za stroke?