Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,501
- 27,000
Mambo ya uchumi wa kati!
Kwa hapa Bongo, kwa uzoefu wangu mdogo. Maeneo mengi ya umma hutoza 200 kwa huduma hiyo pendwa, na 500 kwa kuoga.
Hii imekuwa tofauti katika stendi ya daladala Mbezi Mwisho, Dar es Salaam. Bei ni Tsh 500/- tu, nini sababu ya tofauti hii?
Je, ni bei elekezi au wajanja wamejiongeza kiupigaji?
NB: Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako.
Kwa hapa Bongo, kwa uzoefu wangu mdogo. Maeneo mengi ya umma hutoza 200 kwa huduma hiyo pendwa, na 500 kwa kuoga.
Hii imekuwa tofauti katika stendi ya daladala Mbezi Mwisho, Dar es Salaam. Bei ni Tsh 500/- tu, nini sababu ya tofauti hii?
Je, ni bei elekezi au wajanja wamejiongeza kiupigaji?
NB: Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa lako.