Nini nifanye kwa mpenzi wangu?

Nini nifanye kwa mpenzi wangu?

Nyanda lunduma

Senior Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
187
Reaction score
68
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Miaka 24 ujui cha kufanya hapo? Soma kwanza bwana mdogo
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Mvumilie ipo siku atajirudi
 
Ndio mkuu nimekuelewa, ila sasa nifanye nini mpenzi wangu hapokei hata simu yangu
Achana nae unajua wanawake wa siku hizi wakiona unawapenda sana ndo watakutesa sasa we cha msingi mkaushie kama atarudi poa kama akizingua wanawake mbona wapo wengi na daily wanazaliwa
 
Dalili ya mvua ni mawingu, huyo kashakuacha kimya kimya
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Huyo tayari ana mpenzi mwingine, temana nae atakufelisha huyo
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nina mahusiano na mpenzi wangu tulioweka ahadi ya kuja kuoana, ila sasa mwezangu mpaka sasa hivi nikimpigia simu mara nyingi ananiambia nisubiri kidogo nitampigia. Ukimtumia txt hajibu
Nashindwa kuchukua maamuzi yangu sababu mimi bado nipo chuo mwaka wa pili huu.

Naomba msaada wenu wana JF.
Achana naye kwani ni ndugu yako huyo
 
Jitahidi kumtafuta kwa namna yeyote ile
Unaweza kumtafuta nyumbani kwao ama mahali anapoishi au kuktafuta kupitia ndugu na watu wake wa karibu,
Mtafute ili ujue ni nini kilichomfanya awe kimya kwa muda mrefu hata kutojibu meseji zako,
Ila kwa mtazamo wangu,
Nahisi atakuwa amepata mwanaume mwingine,
Maana kutopokea simu na kutojibu meseji ni njia moja wapo kuwa mpenzi wako anakuacha taratibu.
Na baadae utakuja kushtuka kiari ana mtu mwingine au ameshaolewa kiari.

Cha kufanya mtafute ili ujue ni tatizo gani? Analo au ndio makusudi anakufanyia.

Ukigundua chanzo chake
Usiwe na mawazo najua ulimpenda na mmepanga mengi kuhusu maisha,
Cha kufanya jiweke busy kwenye masomo yako hapo chuoni, Fanya mambo yako mengine ya muhimu.

Pia uwe mtu wa ibada,
Kusali kila Mara kufanya maombi. Muombee na mpenzi wako.

Usiumie sana kwa sababu kila kitu kila tukio kila jaribu ni Mapito na kusudi la mungu.
Utampa mpenzi ambaye atakuwa bora kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom