Nini Madhara ya Weed(bhangi)

Tyta come this wei pliiiiizzzzz



r

Huko ni kwenda kuharibu akili hiyo kitu sio poa kabisa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Huko ni kwenda kuharibu akili hiyo kitu sio poa kabisa mkuu

Wenye akili ndogo wakivuta wanaishia kuwa
images
(Samahani kwa rais wa Mateja najua ni kazi tu)


Ila wenye akili kubwa kubwa wakivuta hii kitu wanaishia kuwa kama kaka mkubwa hapa
images

Au ndugu yake wa Uruguay aliyeamua kuifanya kiinua uchumi
images
 
weed iko fasta sana katika kukufanya uchanganyikiwe...

wengine wanasema inachangamsha.. kumbe ndio unachanganyikiwa interms of kuchangamka!

imagine, mwanadamu wa kawaida kulima masaa 12 mfululizo, ni kitu ambacho hakiwezekani..

lakini ukipiga weed, unapata mzuka wa kufanya kazi to the maximum.. je hii ni mbaya ama njema?

hapo naona kuna double coincidence...

karibuni!
 
weed iko fasta sana katika kukufanya uchanganyikiwe...

wengine wanasema inachangamsha.. kumbe ndio unachanganyikiwa interms of kuchangamka!

imagine, mwanadamu wa kawaida kulima masaa 12 mfululizo, ni kitu ambacho hakiwezekani..

lakini ukipiga weed, unapata mzuka wa kufanya kazi to the maximum.. je hii ni mbaya ama njema?

hapo naona kuna double coincidence...

karibuni!

inategemea na mwili wa mtu mwingine akivuta anakula sana.
 
Ganja ina madhara kiafya kama pombe, sigara au mirungi iwapo tu utaifanyia abuse means ganja abuse; ganja abuse ni kama kuvuta bila kiasi yaani kuifanya msosi, na kuvuta pafu nyingi saana kuvuta afu uwe unakaa idle, na bila kula balance diet. Ganja ikivutwa kwa staha lets say asubuhi before hujaenda kazini inachangamsha ubongo na ukivuta jioni after work unarelax na kulala vizuri saanaa. Ukivuta nyingi saana utapata halucinatio na uchovu mwingi. Ganja ni addictive kama ilivyo sigara, pombe na sex ukiweza kuicontrol ni safi saaana. Ukiwasikiliza wataalamu watakwambia ina madhara na kila kitu hapa duniani kina madhara hata Sunlight cha muhimu usizidishe. Bangi usivutie shida vutia starehe.
NB: ukivuta ganja usivute kushabu chambua vizuri majani(vichwa) mbegu,ile miti na nwele zake zinaleta njaa cha muhimu vuta kitu kikali ka cha arusha ganja ni tiba inatibu mambo mengi saana na mojawapo ya mimea ya tiba ambayo muumba kaiweka duniani. Kama dawa zingine tu ukii abuse ina effect.

good analysis
 
bangi inaleta social awarness and self consiousness huwezi kuta mvuta bangi mzuri sio yule anyeifanyia abuse akizini hovyo au akifanya mambo ya ajabu since utafkiri saana kabla huja act na inaleta confidence sana.
Kwa kiafya bado sijapata kipimo halisi cha kiwango cha nicotine kipi ni kikubwa kati yake na sigara nahisi bangi ina kiwango kidogo coz moshi wake ni mwepesi kuliko sigara na light in colour than moshi wa sigara

well said, due to my general analysis bange haina nikotine kabisa.
 
HAHAAA!! umezingua ww!

kwa hiyo wasio na hmu ya kula?

ni hivi uyo ambaye amevuta bange then akala sana au akalima masaa 12 tatizo ni mtu mwenyewe na sio bange mbona me nikivuta nakuwa normal huwezi jua kama nimevuta kumbuka bange si kwa kila mtu kuna wengine inawapenda na wengine inawachukia.
 
weed iko fasta sana katika kukufanya uchanganyikiwe...

wengine wanasema inachangamsha.. kumbe ndio unachanganyikiwa interms of kuchangamka!

imagine, mwanadamu wa kawaida kulima masaa 12 mfululizo, ni kitu ambacho hakiwezekani..

lakini ukipiga weed, unapata mzuka wa kufanya kazi to the maximum.. je hii ni mbaya ama njema?

hapo naona kuna double coincidence...

karibuni!
Sio kila Kaya inakupa mizuka, Kaya mingine Unalala au mwili una relax to the extent, only you can talk shits or watching military movies.
 
Walio tumia kwenye ukoo wetu walipiga kitabu sana + Excellent results up to degree level lakini kazini waliharibu na kutimuliwa .. Faida ni kwa muda tu ... Baadae mauza uza..
 
"Behold, I have given you every herb bearing seed which is upon the face of all the earth.…To you it will be food. And God saw everything that he had made, and, behold, it was very good. (Genesis 1:29-31).
 
Ni mmea tu kama mimea mingine hauna madhara bali una virutubisho muhimu kama nikotini na vitamin
Nicotine ni kwenye cigarette kaka mkubwa, kwenye ganja Kuna compound inaitwa THC ( Tetrahydrocannibinol ) ambayo by definition: a compound, C21H30O2, that is the physiologically active component in cannabis preparations, including marijuanaand hashish, derived from the Indian hemp plant or produced synthetically.Abbr.:THC)
 
Back
Top Bottom