Mi nimeona asilima kubwa ya vijana waliokuwa wanavuta bangi mtaani kwetu sasa hivi wanaokota makopo,inawezekana bangi ya Ulaya-cannabis stiva ni tofauti na bangi ya Afrika,sijui lakini ukweli ni huo kuwa vijana wengi wamezibuka kwasababu ya matumizi ya bangi.
Mi nimeona asilima kubwa ya vijana waliokuwa wanavuta bangi mtaani kwetu sasa hivi wanaokota makopo,inawezekana bangi ya Ulaya-cannabis stiva ni tofauti na bangi ya Afrika,sijui lakini ukweli ni huo kuwa vijana wengi wamezibuka kwasababu ya matumizi ya bangi.
Tumekua tukiskia sifa za ajabu kuhusu Bangi, ajabu hakujawahi kutolewa ushahidi wa kitaalamu juu ya madhara ya bangi! Jamii imekuwa ikichukulia mtu mwenye kuvuta bangi kama mhalifu au mvunja sheria, lakini ukweli ni kwamba asilimia 90 ya watu wanaovuta bangi ni watu watulivu na wenye hekima sana, nawafahamu watu wengi ambao ni high profile hapa kwetu Tanzania wanaotumia huu mmea, wanasiasa, wafanyabiashara, madaktari na watu wengine wenye mawazo panufu. Leo napenda tuangalie faida kadhaa za mmea huu.
-Bangi ina THC na CBD inayosaidia kuzuiya cancer (utafiti kamili uko hapa: Active Ingredient in Marijuana Kills Brain Cancer
Cells - ABC News)
-Bangi inasaidia neurogenesisi - ukuaji wa brain cells (utafiti kamili uko hapa: Cannabinoids promote embryonic and adult hippocampus neurogenesis and produce anxiolytic- and antidepressant-like effects)
-Bangi inapunguza msongo wa mawazo, utafiti (Active Ingredient in Marijuana Kills Brain Cancer Cells - ABC News) umeonesha kwamba rate ya watu kujiuwa miongoni ya watumiaji wa bangi ni ndogo sana.
Faida za bangi si kwa wavutaji pekee, watu wasiovuta pia wanaweza kufaidika na mmea huu, kuna mamia ya bidhaa zinazotengenezwa kutokana na mmea huu;
Mbegu ya Bangi ni moja ya chakula chenye virutubisho vya aina nyingi sana. Mafuta yatokanayo na mbegu za bangi hayana rehemu, na pia yanaweza kutumika kama energy, pia yanaweza kutengenezwa mafuta ya nywele (hair food) na mafuta ya kujipakia.
Mmea huu ukihalalishwa Tanzania kwa hakika utakuwa na faida kubwa sana kiuchumi, kwani unamea vizuri sehem kubwa ya nchi yetu, hivyo tutaweza kuuza nje ORGANIC MARIJUANA kwa bei nzuri na kuinua vipato vya wananchi.
Mmhh, mtu anakula 'the herb of all times' afu anashindia skonzi na soda na hana kazi yuko kijiwezi anapiga stori tu, lazima adate.
Bangi bila menyu na kufanya kazi ni kujitafutia kichaa cha bure.
Mi nimeona asilima kubwa ya vijana waliokuwa wanavuta bangi mtaani kwetu sasa hivi wanaokota makopo,inawezekana bangi ya Ulaya-cannabis stiva ni tofauti na bangi ya Afrika,sijui lakini ukweli ni huo kuwa vijana wengi wamezibuka kwasababu ya matumizi ya bangi.
Huwezi vuta bangi afu ukashindia soda ukabaki sawa
Donts za bangi, ka,a mvutaji.
1. Lazima ule chakula cha kushiba na chenye nguvu
2. Lazima ufanye kazi, kuunguza bangi uloivuta
3. Lazima uweke wazi kwa wanaokuzunguka kuwa wewe ni mvutaji. Kimtu kinavuta bangi afu hata kwao hawajui kama kinavuta afu kinategemea kibaki sane? Majanga
4. Lazima uwe na ratiba, sio unavuta tuu kama unakunywa chai
5. Ujue historia ya ukoo wenu, kama unaendana na bangi. Koo zingine vichwa panzi, hata wakienda tu high skul wanadata.
6. Lazima ujue stail bora ya usokotaji, na uvutaji. Kuvuta kwa kiko cha maji ni nzuri zaidi.
Tumekua tukiskia sifa za ajabu kuhusu Bangi, ajabu hakujawahi kutolewa ushahidi wa kitaalamu juu ya madhara ya bangi! Jamii imekuwa ikichukulia mtu mwenye kuvuta bangi kama mhalifu au mvunja sheria, lakini ukweli ni kwamba asilimia 90 ya watu wanaovuta bangi ni watu watulivu na wenye hekima sana, nawafahamu watu wengi ambao ni high profile hapa kwetu Tanzania wanaotumia huu mmea, wanasiasa, wafanyabiashara, madaktari na watu wengine wenye mawazo panufu. Leo napenda tuangalie faida kadhaa za mmea huu.
-Bangi ina THC na CBD inayosaidia kuzuiya cancer (utafiti kamili uko hapa: Active Ingredient in Marijuana Kills Brain Cancer
Cells - ABC News)
-Bangi inasaidia neurogenesisi - ukuaji wa brain cells (utafiti kamili uko hapa: Cannabinoids promote embryonic and adult hippocampus neurogenesis and produce anxiolytic- and antidepressant-like effects)
-Bangi inapunguza msongo wa mawazo, utafiti (Active Ingredient in Marijuana Kills Brain Cancer Cells - ABC News) umeonesha kwamba rate ya watu kujiuwa miongoni ya watumiaji wa bangi ni ndogo sana.
Faida za bangi si kwa wavutaji pekee, watu wasiovuta pia wanaweza kufaidika na mmea huu, kuna mamia ya bidhaa zinazotengenezwa kutokana na mmea huu;
Mbegu ya Bangi ni moja ya chakula chenye virutubisho vya aina nyingi sana. Mafuta yatokanayo na mbegu za bangi hayana rehemu, na pia yanaweza kutumika kama energy, pia yanaweza kutengenezwa mafuta ya nywele (hair food) na mafuta ya kujipakia.
Mmea huu ukihalalishwa Tanzania kwa hakika utakuwa na faida kubwa sana kiuchumi, kwani unamea vizuri sehem kubwa ya nchi yetu, hivyo tutaweza kuuza nje ORGANIC MARIJUANA kwa bei nzuri na kuinua vipato vya wananchi.
Huwezi vuta bangi afu ukashindia soda ukabaki sawa
Donts za bangi, ka,a mvutaji.
1. Lazima ule chakula cha kushiba na chenye nguvu
2. Lazima ufanye kazi, kuunguza bangi uloivuta
3. Lazima uweke wazi kwa wanaokuzunguka kuwa wewe ni mvutaji. Kimtu kinavuta bangi afu hata kwao hawajui kama kinavuta afu kinategemea kibaki sane? Majanga
4. Lazima uwe na ratiba, sio unavuta tuu kama unakunywa chai
5. Ujue historia ya ukoo wenu, kama unaendana na bangi. Koo zingine vichwa panzi, hata wakienda tu high skul wanadata.
6. Lazima ujue stail bora ya usokotaji, na uvutaji. Kuvuta kwa kiko cha maji ni nzuri zaidi.
Kwani kuna wavuta bangi humu?.Hello,
Nime-observe wengi wanaovuta bangi wanakuwa wakorofi sana, na wababe hivi kuna uhusiano wowote kati ya kuvuta bangi na kuwa MTU wa mabifu??
Kwa wanaovuta bangi au wanaojua kuhusu hili wanijuze...
Regalize>>>> LegalizeRegalize it