BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 910
- 2,166
Let's say mpo online mnachat na girl wako
Akakuuliza "Unaoa lin mpenzi?"
Nawe ukajibu
"Kwanza ybd nijipange wngu....
nipe mda
Then kuna kjtamblsha
Hlf kuna posa
Na ndoa itafuata wngu
Just nvumilie wngu!!
Kila ktakuwa poa wngu"
"Wngu najtahd kila niwezavyo nije kjitamblsha kwenu!!...
Co km xtaki
Nitakuja wngu!!...
Serious"
Then Baada ya text kufika...akareply kwa text ya kicheko kikubwaa
Ana maana gani kucheka??...girls nnaomba muhusike pia
Akakuuliza "Unaoa lin mpenzi?"
Nawe ukajibu
"Kwanza ybd nijipange wngu....
nipe mda
Then kuna kjtamblsha
Hlf kuna posa
Na ndoa itafuata wngu
Just nvumilie wngu!!
Kila ktakuwa poa wngu"
"Wngu najtahd kila niwezavyo nije kjitamblsha kwenu!!...
Co km xtaki
Nitakuja wngu!!...
Serious"
Then Baada ya text kufika...akareply kwa text ya kicheko kikubwaa
Ana maana gani kucheka??...girls nnaomba muhusike pia