Yatima ni Mtoto ambaye Ajafikia Balekhe Aliye Fiwa Na Baba Yake mzazi.huyo ndie Yatima.
Ukifiwa Na Baba Wewe ndiye Yatima, Ila Ukifiwa Na Mama Wewe si Yatima.
Ila Mnyama Akifiwa na Mama Yake huyo ndiye Yatima.
Mnyama Akifiwa na Mama Anakuwa Yatima Kwa Sababu, Dume akisha Mzalisha Jike Hana Habari nae Tena