EEM M JF-Expert Member Joined May 20, 2022 Posts 475 Reaction score 980 Jun 25, 2024 #21 uhurumoja said: Imesababisha nisilipie king'amuzi kuangalia taifa cup Sasa naangalia dadaz Click to expand... Kijana wa ovyo kabisa huyu ๐๐
uhurumoja said: Imesababisha nisilipie king'amuzi kuangalia taifa cup Sasa naangalia dadaz Click to expand... Kijana wa ovyo kabisa huyu ๐๐
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #22 DR SANTOS said: Nasikia Click to expand... Wao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!?
DR SANTOS said: Nasikia Click to expand... Wao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!?
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 13,903 Reaction score 31,160 Jun 25, 2024 #23 uhurumoja said: Wao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!? Click to expand... Crdb hua inachelewaga always
uhurumoja said: Wao watajua wenyewe ila naona wengi tunaongoja ni Crdb sijajua shida ni Nini!? Click to expand... Crdb hua inachelewaga always
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,365 Reaction score 91,923 Jun 25, 2024 #24 uhurumoja said: Mi Kuna mtu ananidai bila shaka anajua situation maana haongei Jana ilibidi nimpange kabisa kuwa ni hadi waweke Click to expand... Adai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha๐
uhurumoja said: Mi Kuna mtu ananidai bila shaka anajua situation maana haongei Jana ilibidi nimpange kabisa kuwa ni hadi waweke Click to expand... Adai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha๐
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #25 EEM M said: Kijana wa ovyo kabisa huyu ๐๐ Click to expand... Nimehama Niko star tv DW wanakipindi kizuri
EEM M said: Kijana wa ovyo kabisa huyu ๐๐ Click to expand... Nimehama Niko star tv DW wanakipindi kizuri
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 16,112 Reaction score 18,594 Jun 25, 2024 #26 Na kazi mgekua mnachapa km hv taifa lingekua mbali. Soma mkataba wako ulitakiwa kulipwa tarehe ngapi? KAZI ni kipimo cha UTU
Na kazi mgekua mnachapa km hv taifa lingekua mbali. Soma mkataba wako ulitakiwa kulipwa tarehe ngapi? KAZI ni kipimo cha UTU
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #27 DR SANTOS said: Crdb hua inachelewaga always Click to expand... Safari hii wamezidi huwa Kuna delay ya masaa ila Leo naona inachungulia siku nzima
DR SANTOS said: Crdb hua inachelewaga always Click to expand... Safari hii wamezidi huwa Kuna delay ya masaa ila Leo naona inachungulia siku nzima
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 25, 2024 #28 Useee kama useee mwingine tu Cc Smart911
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #29 To yeye said: Adai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha๐ Click to expand... Sipendi kabisa kuonana na afisa utumishi maana hawana majibu maombi yangu ni by 6 mchana waweke
To yeye said: Adai kwani yeye hajui kuwa mshahara umecheleweshwa? Maana taarifa za mshahara wanazo wasiowatumishi sikuzote,umbea umewaacha๐ Click to expand... Sipendi kabisa kuonana na afisa utumishi maana hawana majibu maombi yangu ni by 6 mchana waweke
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #30 Mahondaw said: Useee kama useee mwingine tu Cc Smart911 Click to expand... Usenegal sana wanataka gen y tuamke hawatatuweza๐
Mahondaw said: Useee kama useee mwingine tu Cc Smart911 Click to expand... Usenegal sana wanataka gen y tuamke hawatatuweza๐
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 8,384 Reaction score 24,729 Jun 25, 2024 #31 Kila dakika uzi Njaa mbaya sana
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,332 Jun 25, 2024 #32 uhurumoja said: Usenegal sana wanataka gen y tuamke hawatatuweza๐ Click to expand... Yani hofyo sana! Hata Sitaki jua majibu wanayotoa kiukweli Cc Smart911
uhurumoja said: Usenegal sana wanataka gen y tuamke hawatatuweza๐ Click to expand... Yani hofyo sana! Hata Sitaki jua majibu wanayotoa kiukweli Cc Smart911
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #33 Xi Jinping said: Kila dakika uzi Njaa mbaya sana Click to expand... Umefungua biashara Yako au umefunga kama wenzako!?
Xi Jinping said: Kila dakika uzi Njaa mbaya sana Click to expand... Umefungua biashara Yako au umefunga kama wenzako!?
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #34 Mahondaw said: Yani hofyo sana! Hata Sitaki jua majibu wanayotoa kiukweli Cc Smart911 Click to expand... Hope mda si mrefu wanatupia
Mahondaw said: Yani hofyo sana! Hata Sitaki jua majibu wanayotoa kiukweli Cc Smart911 Click to expand... Hope mda si mrefu wanatupia
Nguva Jike JF-Expert Member Joined Jan 22, 2018 Posts 1,267 Reaction score 1,819 Jun 25, 2024 #35 Mungu okoa wale wanaoteseka kila kukicha.
X Xi Jinping JF-Expert Member Joined Jun 14, 2023 Posts 8,384 Reaction score 24,729 Jun 25, 2024 #36 uhurumoja said: Umefungua biashara Yako au umefunga kama wenzako!? Click to expand... Hayakuhusu
ANT DRUGS JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 5,231 Reaction score 6,472 Jun 25, 2024 #37 Ukipata nistue kuna mtu wa CRDB namdai.
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 11,504 Reaction score 27,287 Jun 25, 2024 #38 Xi Jinping said: Hayakuhusu Click to expand... Pole mdau
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 40,968 Reaction score 119,434 Jun 25, 2024 #39 Hawa viumbe hela zote wanazozikusanya kupitia kodi na tozo, pamoja na zile za kukopa! Sijui wanazipeleka wapi!
Hawa viumbe hela zote wanazozikusanya kupitia kodi na tozo, pamoja na zile za kukopa! Sijui wanazipeleka wapi!