Maana ya Ugatuzi ni kupeleka, kuhamisha, kuteremsha madaraka, mamlaka, kwa maana ya fedha, rasilmali watu, nyenzo, technologia n.k. kutoka Serikali Kuu (Central Government) na kuzipeleka chini kwa wananchi (grassroot)(Local Government/County Government) mfano kwenye vitongoji, vijiji na wilaya ili kuleta na kuharakisha maendeleo kwa nchi husika.