PF 3 ni polisi form namba 3 ambayo dakitari hujaza maelezobya mgonjwa kwa ajili ya michakato ya kesi hapo baadae.
Huko huko polisi pia hutolewa kitu kinaitwa RB hasa pale mtu anaporipoti kupigwa ama kudhulumiwa na mtu fulani. Je maana ya RB ni nini??