Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,611
- 3,342
Hili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi
Uzi
Hili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi
Nimeipenda hii Safi Sana umeelezea vizuri..Money = fedha
Laundry = kufua/kusafisha
Money laundry = kusafisha fedha
Kinachosafishwa huwa ni kichafu.
Obtaining money from illegitimate sources and use it on legitimate issues .
Examples getting money from crimes like drug trafficking and use the money on building magorofa marefuuu.
Huwa inahusisha fedha ndefu sana na siyo vijisenti tu vya hapa na pale!
Nimeipenda hii Safi Sana umeelezea vizuri..
Mkuu utakua ticha au?
'Kutakatisha' ni kitenzi, ni neno linalotumika mbadala ya 'kusafisha'.Hili neno huwa nalisikia sikia nimejaribu kufatilia ila sipati maana halisi na mtu anayetakasisha pesa anakuwa anafaidika na nini?
Uzi
Kuingiza Pesa haramu kwenye matumizi halali kama kujenga nyumba kununua Gari sio utakatishaji wa fedha.'Kutakatisha' ni kitenzi, ni neno linalotumika mbadala ya 'kusafisha'.
Yaani chafu kuwa safi, toka haramu na kuwa halali!
Pesa yoyote ipatikanayo kwa kazi haramu, biashara haramu na matendo haramu ni pesa haramu.
Sasa pesa hiyo inapoingizwa kwenye matumizi halali, kitendo hicho ni kutakatisha.
Money laundering ujisomee
Kuingiza Pesa haramu kwenye matumizi halali kama kujenga nyumba kununua Gari sio utakatishaji wa fedha.
Kutakatisha Ni Ile Pesa chafu mf. Imetoka kwenye madawa ya kulevya unaiweka kwenye mzunguko wa biashara yako halali mfano. Supermarket,casino etc. Halafu inaonekana kama Pesa zako unazojengea magorofa zinatoka kwenye hako kabiashara.
Fatillia wabunge,mawaziri,wakuu wa mikoa unakuta ana kabiashara Fulani kama shule/hotel halafu Pesa Zake Za ufisadi anaziingiza humo kuzitakatisha....hotel inapata mteja mmoja ila inaonekana Ina wateja 100 Kwa siku Kumbe Hawa 99 Ni wateja hewa Na Ni Hela kutokea ufisadini
Kifupi ni kuchukua pesa ambayo sio halali Yani iliyopatikana kinyume na Sheria na kuingia kweny mzunguko yaani kuitumia
Yeap ila wanadakwa Wachache Sana hBasi wbongo wengi makazini ni watakatishaji fedha, mfano Traffic police au!.....hii yanatofauti gani na upigaji au rushwa?
Mkuu, wengi wa wa Tanzania wakiwemo wanasheria hawaijui sheria ya utakatishaji pesaBasi wbongo wengi makazini ni watakatishaji fedha, mfano Traffic police au!.....hii yanatofauti gani na upigaji au rushwa?
Yeah, Unakuta mtu ana sheli ya kawaida tu lakini eti "faida" ya hiyo sheli anatumia kujenga magorofa kariakooHaya maelezo yameshibisha uelewa wangu hasa kwenye mstari wa mwisho "hotel inapata mteja mmoja.........".
Kwamba unaonesha unaingiza pesa nyingi ili uweze kutumia zile ulizoiba?