Hons degree zipo nchi za Ulaya au South Africa.
Kwa bahati mimi nilisoma South Africa, University of Free State. Kwa kawaida degree ya kwanza ni miaka 3 inaitwa first degree NA SIO 'hons' kama inavyoitwa huku kwetu. Baada ya hapo mwanafunzi anasoma mwaka mmoja ili apate hons. Yaani anaandaliwa kufanya masters degree. Kwa kwetu ni usanii.
KWA MAANA HIYO KWA SOUTH AFRICA AU U.K MWANAFUNZI ANARUHUSIWA KUFANYA MASTERS KAMA AMEFANYA MIAKA 4 INCLUDING 1 YEAR YA HONS.
veteran, mimi nimesoma Chuo cha Taifa.
GPA yangu ni ya mawimbi, yaani inapanda na kushuka, nimewahi kupata sapu moja lakini cha ajabu nina Degree with Honours na vigezo vyote ambavyo nimekuwa nikivisikia kwangu haviaplai... Labda kimoja cha kusema kuwa endapo GPA yako inazidi 3.5 basi unafuzu kuwa na shahada yenye heshima maana mimi nimegota kwenye 3.8, Shahada ya Kwanza ya Taaluma za Kiswahili.
Karibu!
Hons degree ni degree Ya heshima.ambaye anapewa Mwanafunzi ambaye hana supplementary wala carry over.
Hons degree zipo nchi za Ulaya au South Africa.
Kwa bahati mimi nilisoma South Africa, University of Free State. Kwa kawaida degree ya kwanza ni miaka 3 inaitwa first degree NA SIO 'hons' kama inavyoitwa huku kwetu. Baada ya hapo mwanafunzi anasoma mwaka mmoja ili apate hons. Yaani anaandaliwa kufanya masters degree. Kwa kwetu ni usanii.
KWA MAANA HIYO KWA SOUTH AFRICA AU U.K MWANAFUNZI ANARUHUSIWA KUFANYA MASTERS KAMA AMEFANYA MIAKA 4 INCLUDING 1 YEAR YA HONS.
Dah..wewe ndio wataka kutuokota kwelikweli!
Hons degree zipo nchi za Ulaya au South Africa.
Kwa bahati mimi nilisoma South Africa, University of Free State. Kwa kawaida degree ya kwanza ni miaka 3 inaitwa first degree NA SIO 'hons' kama inavyoitwa huku kwetu. Baada ya hapo mwanafunzi anasoma mwaka mmoja ili apate hons. Yaani anaandaliwa kufanya masters degree. Kwa kwetu ni usanii.
KWA MAANA HIYO KWA SOUTH AFRICA AU U.K MWANAFUNZI ANARUHUSIWA KUFANYA MASTERS KAMA AMEFANYA MIAKA 4 INCLUDING 1 YEAR YA HONS.