T Ths Is Me Member Joined Jul 24, 2016 Posts 25 Reaction score 60 Sep 20, 2016 #1 Hizi pichaa zina maana kubwa kila mmoja ajifunze kitu hapa :-
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,326 Reaction score 52,045 Sep 21, 2016 #2 Tupe na maana zake
lameck laedo Senior Member Joined May 15, 2016 Posts 174 Reaction score 76 Sep 21, 2016 #3 Hata mimi sijaelewa, hebu tufafanulie basi.
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,258 Reaction score 13,368 Sep 21, 2016 #4 Labda aje January makamba ndio ataweza kuzifafanua maana ndio mtaalamu Wa picha kama hizi
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Sep 21, 2016 #5 Ya pili na ya mwisho nimezielewa.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,243 Sep 21, 2016 #6 Mkuu nipe link ulipotoa hizi picha
chuma cha mjerumani JF-Expert Member Joined Dec 4, 2013 Posts 12,183 Reaction score 25,425 Sep 21, 2016 #7 Asee si mchezoo nimetoka mtupu wongo m'mbaya.
chuma cha mjerumani JF-Expert Member Joined Dec 4, 2013 Posts 12,183 Reaction score 25,425 Sep 21, 2016 #8 Fazzaly said: Hizi pichaa zina maana kubwa kila mmoja ajifunze kitu hapa :- View attachment 403908View attachment 403909View attachment 403910View attachment 403911 Click to expand... Mkuu mbona umeshusha vitu nakukimbia?
Fazzaly said: Hizi pichaa zina maana kubwa kila mmoja ajifunze kitu hapa :- View attachment 403908View attachment 403909View attachment 403910View attachment 403911 Click to expand... Mkuu mbona umeshusha vitu nakukimbia?
UncleBen JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 9,693 Reaction score 12,320 Sep 21, 2016 #9 Mgirik said: Labda aje January makamba ndio ataweza kuzifafanua maana ndio mtaalamu Wa picha kama hizi Click to expand... Dah
Mgirik said: Labda aje January makamba ndio ataweza kuzifafanua maana ndio mtaalamu Wa picha kama hizi Click to expand... Dah
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 10,401 Reaction score 23,604 Sep 21, 2016 #11 J marope anaweza kutusaidia
Mkushi Da Gama JF-Expert Member Joined Jun 23, 2015 Posts 3,692 Reaction score 4,995 Sep 21, 2016 #12 me siwez
kimange JF-Expert Member Joined Sep 14, 2016 Posts 1,339 Reaction score 1,299 Sep 21, 2016 #13 Kila mtu anaweza kupata maana tofaut kutokana na. Uelewa wake kwani kila. Mtu ana uelewa wake
Konda wa bodaboda JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,981 Reaction score 4,172 Sep 21, 2016 #14 Mgirik said: Labda aje January makamba ndio ataweza kuzifafanua maana ndio mtaalamu Wa picha kama hizi Click to expand... Mkuu huo utalamu wa kusoma picha aliupatia wapi?
Mgirik said: Labda aje January makamba ndio ataweza kuzifafanua maana ndio mtaalamu Wa picha kama hizi Click to expand... Mkuu huo utalamu wa kusoma picha aliupatia wapi?
ffoJ JF-Expert Member Joined Apr 9, 2014 Posts 398 Reaction score 535 Sep 21, 2016 #15 Mimi ninaweza kutoa maana zake ila utakataa
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Sep 21, 2016 #16 ffoJ said: Mimi ninaweza kutoa maana zake ila utakataa Click to expand... Ingawa zina maana kubwa moja lakini kila msomaji kutokana na hali yake anaruhusiwa kuzitafsiri kuendana na maisha yake (circumstances)
ffoJ said: Mimi ninaweza kutoa maana zake ila utakataa Click to expand... Ingawa zina maana kubwa moja lakini kila msomaji kutokana na hali yake anaruhusiwa kuzitafsiri kuendana na maisha yake (circumstances)
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,258 Reaction score 13,368 Sep 21, 2016 #17 Konda wa bodaboda said: Mkuu huo utalamu wa kusoma picha alioupatia wapi? Click to expand... Mkuu ww umesahau picha zake zile za kipind magufuli alipokuwa prezi daa
Konda wa bodaboda said: Mkuu huo utalamu wa kusoma picha alioupatia wapi? Click to expand... Mkuu ww umesahau picha zake zile za kipind magufuli alipokuwa prezi daa
P princedamian New Member Joined Sep 21, 2016 Posts 2 Reaction score 1 Sep 21, 2016 #18 Mmh mm kwang no ngumu
Mr Q JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 21,099 Reaction score 47,070 Sep 21, 2016 #19 mnipe maana ya hiyo picha jamaa kama anawaza na mawazoni kuna mtu kakaa halafu kazunguwa na panya hivi.
mnipe maana ya hiyo picha jamaa kama anawaza na mawazoni kuna mtu kakaa halafu kazunguwa na panya hivi.
chuma cha mjerumani JF-Expert Member Joined Dec 4, 2013 Posts 12,183 Reaction score 25,425 Sep 21, 2016 #20 Mr Q said: mnipe maana ya hiyo picha jamaa kama anawaza na mawazoni kuna mtu kakaa halafu kazunguwa na panya hivi. Click to expand... Nguo zimechanika. Bakuli na sahani pembeni ziko tupu. Paji la uso sijui ni ubongo kuna dirisha.
Mr Q said: mnipe maana ya hiyo picha jamaa kama anawaza na mawazoni kuna mtu kakaa halafu kazunguwa na panya hivi. Click to expand... Nguo zimechanika. Bakuli na sahani pembeni ziko tupu. Paji la uso sijui ni ubongo kuna dirisha.