Namm nataka kujua ili ufanye mtihani wa kidato cha sita unahitaji credit ngapi na je masomo kama elimu ya dini au literatuer credit zake zinahesabiwa au laa
Namm nataka kujua ili ufanye mtihani wa kidato cha sita unahitaji credit ngapi na je masomo kama elimu ya dini au literatuer credit zake zinahesabiwa au laa
Duh, kweli hapo ni mtihani mwingine. Inakuaje nchi ile ile ina band tofauti za GPA? Kuna nchi maximum GPA yao ni 4.0 sio 5.0 kama hapa TZ, laiti ualimu na o-level,A level zingetofautiana maximum GPA yaani 4 na 5 nadhani utata huu usingekuwapo lkn hapa pana BRN tu sbb GPA ni ile ile lkn band tofauti.