kabon14
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,233
- 871
Habar za mida wakuu..
Kuna kitu najiuliza kuhusu kinga dhidi ya mashtaka anayopewa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kikatiba.
Katika nchi ya kidemokrasia kama Tanzania inaaminika kuwa kila kitu kinafanyika kwa utaratibu wa kisheria kupitia miongozo ya kikatiba kama sheria mama.
Kutokana na hilo kuna sheria znazomlinda rais wa nchi anapokuwa madaradakani hivyo kumfanya asiweze kufikishwa chin ya vyombo vya kisheria (mf. mahakama) pale anapokwenda kinyume na katiba (wanasheria mnaweza kunipa ufafanuz zaidi kuhusu kinga hiyo).
Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nini kitatokea endapo nchi kama TANZANIA, narudia tena nchi kama TANZANIA itapata rais asiye na vinasaba vya uzalendo na kuamua kuuza eneo la mkoa mmoja ulioko mpakani katika nchi hiyo jirani?
Mfano. Akauza eneo la mkoa wa mara nchini kenya au eneo lolote la mpakani.
Je, hili linawezekana?
-Sheria za nchi znasemaje?
-Sheria za kimataifa znasemaje?
-Jamii husika inaweza fanya nini, na umma wa watanzania unaweza fanya nini?
karibuni..!
Kuna kitu najiuliza kuhusu kinga dhidi ya mashtaka anayopewa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kikatiba.
Katika nchi ya kidemokrasia kama Tanzania inaaminika kuwa kila kitu kinafanyika kwa utaratibu wa kisheria kupitia miongozo ya kikatiba kama sheria mama.
Kutokana na hilo kuna sheria znazomlinda rais wa nchi anapokuwa madaradakani hivyo kumfanya asiweze kufikishwa chin ya vyombo vya kisheria (mf. mahakama) pale anapokwenda kinyume na katiba (wanasheria mnaweza kunipa ufafanuz zaidi kuhusu kinga hiyo).
Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nini kitatokea endapo nchi kama TANZANIA, narudia tena nchi kama TANZANIA itapata rais asiye na vinasaba vya uzalendo na kuamua kuuza eneo la mkoa mmoja ulioko mpakani katika nchi hiyo jirani?
Mfano. Akauza eneo la mkoa wa mara nchini kenya au eneo lolote la mpakani.
Je, hili linawezekana?
-Sheria za nchi znasemaje?
-Sheria za kimataifa znasemaje?
-Jamii husika inaweza fanya nini, na umma wa watanzania unaweza fanya nini?
karibuni..!