nini kinaisibu ccm zanzibar??

nini kinaisibu ccm zanzibar??

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
2,214
Reaction score
3,352
unguja ndiyo ilikua ngome ya ccm lakin kwa uchaguz wa mwaka huu hali imegeuka kiasi kwamba cuf wameimarika na kutwaa majimbo unguja nini kimekwenda kombo kwa hiki chama sikivu!?
 
Wanafanya sensa ya wa Zanzibari huku bara,kuna mwenye kujua wanafanya hivyo ili iweje?
 
unguja ndiyo ilikua ngome ya ccm lakin kwa uchaguz wa mwaka huu hali imegeuka kiasi kwamba cuf wameimarika na kutwaa majimbo unguja nini kimekwenda kombo kwa hiki chama sikivu!?

Hakika ushujaa wa maalim seif umetukuka ! Amevuruga kabisa ccm zanzibar kiasi cha kuwafanya wachumia tumbo wote matumbo yanawaka moto !
 
unguja ndiyo ilikua ngome ya ccm lakin kwa uchaguz wa mwaka huu hali imegeuka kiasi kwamba cuf wameimarika na kutwaa majimbo unguja nini kimekwenda kombo kwa hiki chama sikivu!?

CUF wamechukua mangapi upande wa Unguja maana uchaguzi wa 2010 walikuwa na majimbo mawili huko Unguja
 
Hata mechi ikirudiwa matokeo hayatakuwa mazuri. Tena nadhani wana CCM wa ZNZ wengi watakuwa wamekasirishwa na maigizo haya nakuipigia kura CUF.
 
Hata mechi ikirudiwa matokeo hayatakuwa mazuri. Tena nadhani wana CCM wa ZNZ wengi watakuwa wamekasirishwa na maigizo haya nakuipigia kura CUF.

Neutrals ambao siyo CUF Wala CCM pia wamechukia na wameapa kuiadhibu CCM.
 
CUF huwa wanachukua majimbo 2 na Maalim seif anapata 49% ya kura zote,unadhani Jecha angefanya nini kwa CUF kupata 9 unguja na yote 18 Pemba.
Jecha kazi imemshinda LUBUVA ahusike 2nd leg.
 
CUF huwa wanachukua majimbo 2 na Maalim seif anapata 49% ya kura zote,unadhani Jecha angefanya nini kwa CUF kupata 9 unguja na yote 18 Pemba.
Jecha kazi imemshinda LUBUVA ahusike 2nd leg.
Hata Lubuva hatakiwi ni wale wale tu, kinachotakiwa Jecha amalizie kutangaza na mshindi apatikane.
 
zabzibar hakuna tena ccm,kama uchaguzi ungefanya bila ya kuchakachua ccm asingezidi majimbo 10 kati ya 36 unguja na pemba kama desturi hakuna kitu kwa ccm,majimbo yote 18 ya pemba ni cuf.

kwa zaidi ya asilimia 85 ya wazanzibari tunaojitambua tunaelewa kuwa ccm sio chama chenye kujali maslahi ya zanzibar na kimejigeuza kuwa agent of destruction kwa zanzibar yetu
 
kauli za seif idd kuwa wananyea ndoo bara yamewakera sasa wa Zanzibar.
kwa kadiri ninavyojua ni kuwa hii kauli haitawaacha hivi hivi.

unguja ndiyo ilikua ngome ya ccm lakin kwa uchaguz wa mwaka huu hali imegeuka kiasi kwamba cuf wameimarika na kutwaa majimbo unguja nini kimekwenda kombo kwa hiki chama sikivu!?
 
Back
Top Bottom