Karibu mwaka mmoja tangu Mradi Wa Ubungo Exchange Uanze , hadi sasa hakuna kazi ya Maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa. Haijakamilika .
Contractor wa Kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Ma-snitch tls wamewaambia Word Bank wailipe kumkomoa Raisi wetu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii Ubungo Exchange ni ile Bureau De Change ya Ubungo pale ama exchange ipi mkuu!?
Kuna article niliiona IPPMEDIA ambayo inaonyesha kama walikurupuka kwenye maamuzi na kusahau mambo ya msingi lakini kama alivyosema Saint Ivuga nadhani hakuna pesa sasa wanaficha ukweli. Nitaitafuta nikiipata nitaweka hapa.
Govt explains why Ubungo flyover project has stalled
m[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hii Ubungo Exchange ni ile Bureau De Change ya Ubungo pale ama exchange ipi mkuu!?
Ndugu hivi mpka leo hujajua tuna rais msanii na muongo?!
!
Niwaombe wizara ya miundombinu na wakandarasi simamieni mradi ukamilike. Sioni sababu mradi huu ukachukua mpaka miezi 30, wakati kuna usiku na kuna mchana. Hakuna sheria duniani inayokataza kufanya kazi usiku, angalau basi miezi 20.
Pia Kwenye Hiyo Article Alinukuliwa Akisema Fedha Zipo, Sasaaa
Wewe unajua maana ya inter change? Hahahahahaha....World Bank wamejitoa kufinance mradi wa kujenga interchange sasa hivi tunajenga kwa pesa yetu na ndo maana badala ya interchange inakua flyover.
Tunasubiria kuiba 3 trilllion mwaka wa fedha 2018,2019 tumalizie ujenzi,ovaaaaKaribu mwaka mmoja tangu Mradi Wa Ubungo Exchange Uanze , hadi sasa hakuna kazi ya Maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa. Haijakamilika .
Contractor wa Kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Ndugu hivi mpka leo hujajua tuna rais msanii na muongo?
Kazi za ujenzi huendaga taratibu, baada ya muda ndo utaiona structure halisi. Hata TAZARA ilianza hivi hivi na sasa inaelekea kukamilika, subira men.Karibu mwaka mmoja tangu mradi wa Ubungo Exchange uanze, hadi sasa hakuna kazi ya maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa haijakamilika .
Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Hela watu waliungia Mkono viwanda!Karibu mwaka mmoja tangu mradi wa Ubungo Exchange uanze, hadi sasa hakuna kazi ya maana iliyofanyika, kwani hata site clearence ambayo ni kazi ya kufanya wiki mbili tu katika hali ya kawaida hadi sasa haijakamilika .
Contractor wa kichina wanasuasua sana kufika site na hata hakuna dalili yeyote ya kufanya kazi sana sana kuna vibarua wachache tu wa kitanzania wanaonekana na majembe yao.
Tunaomba kujua kuna nini kinaendelea kati ya WORLD BANK na Serikali?
Nimekamilisha banda langu la kuku, nadhani jiwe atakuja kulizinduaKawabomolea nyumba wakazi wa kimara unadhani atapona. Sasa hivi hata akitubu atakuwa anajisumbua tu. Huoni hata kuzindua kumepungua.
Bring beck our money