Nikiwa mwanachama mtiifu kwa chama changu nasikitishwa na hali inayoendelea kwenye uongozi waà chama changu jimbo la Segerea.
CHADEMA jumbo la Segerea kuna ugomvi mkubwa sana kati ya mwenyekiti kidela na Katibu Anatropia.
Na kama uongozi wa kanda hautalishughulikia mapema kuna hatari kubwa ya kupoteza tena hili jumbo.
Naomba kamanda wangu Mabere njoo Segerea uje uzime huu moto.
CHADEMA jumbo la Segerea kuna ugomvi mkubwa sana kati ya mwenyekiti kidela na Katibu Anatropia.
Na kama uongozi wa kanda hautalishughulikia mapema kuna hatari kubwa ya kupoteza tena hili jumbo.
Naomba kamanda wangu Mabere njoo Segerea uje uzime huu moto.