Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,136 Reaction score 18,787 Wednesday at 1:54 PM #21 min -me said: Kweli kabisa ,🤣 Click to expand... RRONDO anasema sio haki kupiga mwanamke inaonekana hajawahi kumbana na kadhia za hao viumbe. Wanaume huwa tunavumilia mengi Sana Sana kutoka kwa hawa viumbe la sivyo unaeza piga uue
min -me said: Kweli kabisa ,🤣 Click to expand... RRONDO anasema sio haki kupiga mwanamke inaonekana hajawahi kumbana na kadhia za hao viumbe. Wanaume huwa tunavumilia mengi Sana Sana kutoka kwa hawa viumbe la sivyo unaeza piga uue
O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 3,173 Reaction score 4,488 Wednesday at 1:55 PM Thread starter #22 min -me said: Ila pia wadada wa kenya kama wamevurugwa flani hivi🤔 wana katabia kakujiamini kupita kiasi kama wa Arusha 🤔 Click to expand... Sasa Kenya na arusha si ndugu mabange
min -me said: Ila pia wadada wa kenya kama wamevurugwa flani hivi🤔 wana katabia kakujiamini kupita kiasi kama wa Arusha 🤔 Click to expand... Sasa Kenya na arusha si ndugu mabange
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 45,962 Reaction score 126,394 Wednesday at 1:57 PM #23 Raymanu KE said: RRONDO anasema sio haki kupiga mwanamke inaonekana hajawahi kumbana na kadhia za hao viumbe. Wanaume huwa tunavumilia mengi Sana Sana kutoka kwa hawa viumbe la sivyo unaeza piga uue Click to expand... Binafsi pia siungi mkono upigaji mkuu, ukiona unazinguliwa ujue tu ameshakusoma , na kuna pahala umelegeza 🤔
Raymanu KE said: RRONDO anasema sio haki kupiga mwanamke inaonekana hajawahi kumbana na kadhia za hao viumbe. Wanaume huwa tunavumilia mengi Sana Sana kutoka kwa hawa viumbe la sivyo unaeza piga uue Click to expand... Binafsi pia siungi mkono upigaji mkuu, ukiona unazinguliwa ujue tu ameshakusoma , na kuna pahala umelegeza 🤔
Raymanu KE JF-Expert Member Joined Jan 20, 2022 Posts 10,136 Reaction score 18,787 Wednesday at 2:04 PM #24 min -me said: Binafsi pia siungi mkono upigaji mkuu, ukiona unazinguliwa ujue tu ameshakusoma , na kuna pahala umelegeza 🤔 Click to expand... Wanawake wa ckuiz ni vichwa ngumu Sana mkuu sio kama wa zamani
min -me said: Binafsi pia siungi mkono upigaji mkuu, ukiona unazinguliwa ujue tu ameshakusoma , na kuna pahala umelegeza 🤔 Click to expand... Wanawake wa ckuiz ni vichwa ngumu Sana mkuu sio kama wa zamani
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,139 Reaction score 88,800 Wednesday at 2:07 PM #25 Uyo dada kayataka mwenyewe. Kwanini unarusha jiwe ungeumiza mtu macho je?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 45,962 Reaction score 126,394 Wednesday at 2:10 PM #26 Mad Max said: Uyo dada kayataka mwenyewe. Kwanini unarusha jiwe ungeumiza mtu macho je? Click to expand... Hahaha si alikua na lengo la kuumiza mtu bwashee, lingeumiza mtu malengo yake yangetimia😅
Mad Max said: Uyo dada kayataka mwenyewe. Kwanini unarusha jiwe ungeumiza mtu macho je? Click to expand... Hahaha si alikua na lengo la kuumiza mtu bwashee, lingeumiza mtu malengo yake yangetimia😅
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,726 Reaction score 131,842 Wednesday at 2:11 PM #27 Duh Ova
M Master Race Senior Member Joined Feb 19, 2026 Posts 170 Reaction score 364 Wednesday at 2:13 PM #28 Sasa huyo Jamaa aliyevaa sweta jekundu kilichomfanya akikimbilia ni nini, Acha na yy apewe kichapo, sema kajiona mjinga kweli Yani.
Sasa huyo Jamaa aliyevaa sweta jekundu kilichomfanya akikimbilia ni nini, Acha na yy apewe kichapo, sema kajiona mjinga kweli Yani.
Amere JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 380 Reaction score 571 Wednesday at 2:17 PM #29 Huyu jamaa mwenye nyekundu amenichekesha
HOLY SKANKA JF-Expert Member Joined Dec 30, 2025 Posts 438 Reaction score 697 Wednesday at 2:19 PM #30 Master Race said: Sasa huyo Jamaa aliyevaa sweta jekundu kilichomfanya akikimbilia ni nini, Acha na yy apewe kichapo, sema kajiona mjinga kweli Yani. Click to expand... Anajifanya Shoko Shugi,,Wana Wakamtuliza,,Na Hatimaye Mwana Akalitii Tulizo Na Kujiamulia Kufuata Njia Zake... Mwana Huyoo..Akaenda Zake.....
Master Race said: Sasa huyo Jamaa aliyevaa sweta jekundu kilichomfanya akikimbilia ni nini, Acha na yy apewe kichapo, sema kajiona mjinga kweli Yani. Click to expand... Anajifanya Shoko Shugi,,Wana Wakamtuliza,,Na Hatimaye Mwana Akalitii Tulizo Na Kujiamulia Kufuata Njia Zake... Mwana Huyoo..Akaenda Zake.....
Palac JF-Expert Member Joined Mar 29, 2025 Posts 352 Reaction score 872 Wednesday at 2:23 PM #31 OgaBoy said: Je, hakulipa nauli ya boda ? HATA kama hakulipa mbona YEYE NDO mkali kumpiga jiwe boda shida nini. Mpaka wameanza gombana View attachment 3562526 Click to expand... Wanawake ni mama zetu lakini karne na karne laana ya mama itaacha kushika kabisa fikiri ndo ushakua mtu mzima unaambiwa mama ako huyo
OgaBoy said: Je, hakulipa nauli ya boda ? HATA kama hakulipa mbona YEYE NDO mkali kumpiga jiwe boda shida nini. Mpaka wameanza gombana View attachment 3562526 Click to expand... Wanawake ni mama zetu lakini karne na karne laana ya mama itaacha kushika kabisa fikiri ndo ushakua mtu mzima unaambiwa mama ako huyo
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 15,945 Reaction score 18,378 Wednesday at 3:12 PM #32 Kalio ni kali MNO KAZI ni kipimo cha utu
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,678 Reaction score 129,264 Wednesday at 3:52 PM #33 Raymanu KE said: Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa. Hawa viumbe ukiwaendekeza watakuabisha kwa wanaume wenzako. I'll never entertain a woman's nonsense in any way whatsoever! Click to expand... Ok
Raymanu KE said: Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa. Hawa viumbe ukiwaendekeza watakuabisha kwa wanaume wenzako. I'll never entertain a woman's nonsense in any way whatsoever! Click to expand... Ok
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,214 Reaction score 39,894 Wednesday at 4:07 PM #34 RRONDO said: Unaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada. Click to expand... Vipi kuhusu huyo dada kurusha jiwe?
RRONDO said: Unaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada. Click to expand... Vipi kuhusu huyo dada kurusha jiwe?
Werrason JF-Expert Member Joined Nov 5, 2014 Posts 13,214 Reaction score 39,894 Wednesday at 4:09 PM #35 Raymanu KE said: Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa. Hawa viumbe ukiwaendekeza watakuabisha kwa wanaume wenzako. I'll never entertain a woman's nonsense in any way whatsoever! Click to expand... Baelezee
Raymanu KE said: Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa. Hawa viumbe ukiwaendekeza watakuabisha kwa wanaume wenzako. I'll never entertain a woman's nonsense in any way whatsoever! Click to expand... Baelezee
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,751 Reaction score 184,586 Wednesday at 10:12 PM #36 Ngoja wanyoshane kidogo... Cc: Mahondaw