Nini kimemkuta dada huyu

Kuna jamaa wa sweta jekundu alikua anaenda kuokoa wakampiga , vijamaa ni vijinga sana
Inasikitisha sana. At least wangeamulia. Wamshike yule dada na jamaa wamuweke mvali. Nafikiri ni Kenya hapo hdo wenzetu kidogo ustaarabu ni msamiati mpya.
 
Inasikitisha sana. At least wangeamulia. Wamshike yule dada na jamaa wamuweke mvali. Nafikiri ni Kenya hapo hdo wenzetu kidogo ustaarabu ni msamiati mpya.
Ila pia wadada wa kenya kama wamevurugwa flani hivi๐Ÿค” wana katabia kakujiamini kupita kiasi kama wa Arusha ๐Ÿค”
 
Je, hakulipa nauli ya boda ? HATA kama hakulipa mbona YEYE NDO mkali kumpiga jiwe boda shida nini. Mpaka wameanza gombana

Dah mwanetu nguo nyekundu amepigwa vibao viwili chap akili ikamrudi ikabidi akaendelee na mbishe zake chap hana muda wa kupoteza kwenye ugomvi wa wenyewe
 
Unaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada.
Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa.
Hawa viumbe ukiwaendekeza watakuabisha kwa wanaume wenzako.

I'll never entertain a woman's nonsense in any way whatsoever!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ